Msolopagazi
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 663
- 153
Kampuni kubwa la kuzalisha Dhahabu la Barrick kupitia mgodi wa Bulyanhulu limetangaza kupunguza wafanyakazi 550 wakitanzania kutokana na kushuka kwa bei ya dhahabu kwenye soko la dunia baada kupunguza wafanyakazi wakigeni wapatao 30.
Kuanzia jana wametoa fomu kwa wanaojitolea kuacha kazi watalipwa mwezi mmoja kwa kila mwaka mtu aliofanya kazi.
Nawasilisha.
Kuanzia jana wametoa fomu kwa wanaojitolea kuacha kazi watalipwa mwezi mmoja kwa kila mwaka mtu aliofanya kazi.
Nawasilisha.