Barrick agrees to pay $300 million to end Tanzania dispute

Nenda kamuulize Lissu ndiyo aliwaaminisha hivyo. Eti sina ubavu wa kujadili mada nzito kama hii!!?? Yaani wewe unaiona mada hii ni nzito? Basi uelewa wako utakuwa mdogo sana! Pole!
Kwako ni mzito kweli kweli kwa sababu, usingefikiria suala la Acacia kwenda MiGA wakati yeye ni mshindi!! Hivi umesahau kwamba mlikuwa mnawadai USD 190 Billion, lakini wanachotaka kulipa ni only USD 300M ambayo ni less than 1%, na hapo hapo makinikia ruhusa kwenda nje?!

Sasa kama jambo dogo kama hilo umeshindwa kulifahamu, huoni ni namna gani mada ilivyo mzito kwako?

Na kama hadi sasa hujaelewa hoja ya Lissu wakati serikali inafikia kukubali USD 300M out of USD 190B basi una safari mzito sana ya kuelewa!!!
 
Kila kitu kuna negotiations lakini huyo Lissu naona humfahamu vizuri mimi namfahamu tangu miaka ya 90s ni mtu asiyeaminika kabisa alishanunuliwa na hao Accacia ndiyo maana akawa anawatetea pia akachukua taarifa na kuwapelekea mabeberu ndiyo maana cha mtema kuni akakipata na hata sahau pia ameiharibia familia yake yote for ages. Mimi binafsi hata mtoto wake akija kuomba kazi kwenye Kampuni yangu nitafikiria mara kumi zaidi kabla ya kumwajiri naogopa pia anaweza kuwa mwanaharakati kama baba yake! Hizo ndiyo negative effect za unaharakati.

..OK.

..kwa hiyo Tundu Lissu ni mbaya kuliko Barrick wamiliki wa Accacia tuliofanya mazungumzo nao.

..au Tundu Lissu ni mbaya kuliko Babu Seya na mwanae Papii waliopatikana na hatia ya kulawiti watoto lakini awamu hii wanakaribishwa Ikulu kwa zulia jekundu?

..uko tayari kumnyima ajira mtoto wa Tundu Lissu, lakini unaunga mkono Papii mtoto wa Babu Seya kusaidiwa na serikali.
 
Kwako ni mzito kweli kweli kwa sababu, usingefikiria suala la Acacia kwenda MiGA wakati yeye ni mshindi!! Hivi umesahau kwamba mlikuwa mnawadai USD 190 Billion, lakini wanachotaka kulipa ni only USD 300M ambayo ni less than 1%, na hapo hapo makinikia ruhusa kwenda nje?!

Sasa kama jambo dogo kama hilo umeshindwa kulifahamu, huoni ni namna gani mada ilivyo mzito kwako?
Hujui strategy ya negotiation wewe ndiyo maana unahangaika ila ukimaliza kusoma ukija mitaani utaelewa mkuu! Hiyo amount ilikuwa strategy ya negotiation mkuu!
 
..OK.

..kwa hiyo Tundu Lissu ni mbaya kuliko Barrick wamiliki wa Accacia tuliofanya mazungumzo nao.

..au Tundu Lissu ni mbaya kuliko Babu Seya na mwanae Papii waliopatikana na hatia ya kulawiti watoto lakini awamu hii wanakaribishwa Ikulu kwa zulia jekundu?

..uko tayari kumnyima ajira mtoto wa Tundu Lissu, lakini unaunga mkono Papii mtoto wa Babu Seya kusaidiwa na serikali.
Msaliti kwa medani ya kijeshi na kwa masilahi ya nchi ni mbaya sana na adhabu yake ni moja tu! Nenda kasome Bibilia pia fuatilia issue ya Mmarekani Snowden alitoa taarifa kuwa Wamarekani wanawadukua Marais wa EU ambayo ni kawaida lakini umeona amekimbia nchi na atatafutwa milele na akipatikana lazima iwe RIP.
 
Hujui strategy ya negotiation wewe ndiyo maana unahangaika ila ukimaliza kusoma ukija mitaani utaelewa mkuu! Hiyo amount ilikuwa strategy ya negotiation mkuu!
Eti sijui strategy ya negotiation! Yaani unapata Less than 1% halafu unajidanganya kulikuwa na strategy !!!

Ukweli ni kwamba, serikali ilichemka kukagua makontena bila kuwapo upande wa pili, au third part na hivyo kukosa grounds! Na serikali ilifahamu ikikomaa kingetokea kile alichokisema Tundu Lissu kwa sababu there's no way Barrick wangekubali kulipa hata 10% TU ya hizo billions!

Na kwavile Barrick wasingekubali, lazima wangeenda MiGA na kule serikali isingechomoka kwa sababu hakuna mahakama yoyote ingekubali ushahidi wa akina Mruma waliofanya wakiwa peke yao!!

Na hapo ndipo ilikuja hoja ya Lissu, kwamba ukitaka kupambana na hizi multinational companies ni lazima kwanza mjitoe MiGA ambakmo huwa wanakimbilia!!

Badala ya kufuata ushahuri wa kizalendo, wapumbavu wakataka kumuua kwa sababu hawaelewi!
 
Eti sijui strategy ya negotiation! Yaani unapata Less than 1% halafu unajidanganya kulikuwa na strategy !!!

Ukweli ni kwamba, serikali ilichemka kukagua makontena bila kuwapo upande wa pili, au third part na hivyo kukosa grounds! Na serikali ilifahamu ikikomaa kingetokea kile alichokisema Tundu Lissu kwa sababu there's no way Barrick wangekubali kulipa hata 10% TU ya hizo billions!

Na kwavile Barrick wasingekubali, lazima wangeenda MiGA na kule serikali isingechomoka kwa sababu hakuna mahakama yoyote ingekubali ushahidi wa akina Mruma waliofanya wakiwa peke yao!!

Na hapo ndipo ilikuja hoja ya Lissu, kwamba ukitaka kupambana na hizi multinational companies ni lazima kwanza mjitoe MiGA ambakmo huwa wanakimbilia!!

Badala ya kufuata ushahuri wa kizalendo, wapumbavu wakataka kumuua kwa sababu hawaelewi!
Mkuu kasome Forensic Investigation pia CFE then urudi hapa tujadili naona you are not informed eti simply makontena yalifunguliwa wakati hawapo? Then unafikiri ownership inahama only that!!!??
 
Mkuu kasome Forensic Investigation pia CFE then urudi hapa tujadili naona you are not informed eti simply makontena yalifunguliwa wakati hawapo? Then unafikiri ownership inahama only that!!!??
Wapi nimezungumzia suala la ownership?! Narudia, hakuna mahakama ambayo ingeweza kuutumia ushahidi wa akina Mruma!! Sasa kama ule ushahidi ni valid, kwanini basi serikali inakubali kuchukua USD 300M badala ya 190 Billion?
Hata kesi za kijinga tu askari hawezi kuingia nyumba ya mtu kufanya upekuzi pasipo na kuwapo ama muhusika au mjumbe wa mtaa husika!!! Nani atakuja kumuamini askari akisema ndani walikuta kilo ya bangi wakati waliingia wakiwa peke yao?!
 
Msaliti kwa medani ya kijeshi na kwa masilahi ya nchi ni mbaya sana na adhabu yake ni moja tu! Nenda kasome Bibilia pia fuatilia issue ya Mmarekani Snowden alitoa taarifa kuwa Wamarekani wanawadukua Marais wa EU ambayo ni kawaida lakini umeona amekimbia nchi na atatafutwa milele na akipatikana lazima iwe RIP.

..hiyo bibilia mnayosoma uv-ccm inasemaje kuhusu walawiti watoto na mashoga kama Babu Seya na Papii? Inasema wanastahili kupokelewa Ikulu kwa zulia jekundu?
 
Wapi nimezungumzia suala la ownership?! Narudia, hakuna mahakama ambayo ingeweza kuutumia ushahidi wa akina Mruma!! Sasa kama ule ushahidi ni valid, kwanini basi serikali inakubali kuchukua USD 300M badala ya 190 Billion?
Hata kesi za kijinga tu askari hawezi kuingia nyumba ya mtu kufanya upekuzi pasipo na kuwapo ama muhusika au mjumbe wa mtaa husika!!! Nani atakuja kumuamini askari akisema ndani walikuta kilo ya bangi wakati waliingia wakiwa peke yao?!
Una uhakika mjumbe wa mtaa hakuwepo pia unafikiri kila upekuzi hata waofisini lazima mjumbe wa mtaa awepo kwani viongozi wa bandari hawakuwepo? Think beyond....!!!
 
..hiyo bibilia mnayosoma uv-ccm inasemaje kuhusu walawiti watoto na mashoga kama Babu Seya na Papii? Inasema wanastahili kupokelewa Ikulu kwa zulia jekundu?
Jibu hoja acha kukimbilia udaku! Kama muuaji anasamehewa atakuwa mlawiti?
 
''(Bloomberg)

Barrick Gold Corp. agreed to pay $300 million to the Tanzanian government to end a long-running dispute that it says destroyed the value of its subsidiary Acacia Mining Plc’s assets.

As part of the deal, which still must be approved by Tanzania’s attorney general, the government will be given a 16% stake in a renamed company known as Twiga Minerals Corp., Barrick said Sunday in a statement. The payments are to settle all outstanding tax and other disputes, the gold miner said. The agreement means a ban on export of concentrates will be lifted, Barrick said.“Rebuilding these operations after three years of value destruction will require a lot of work, but the progress we’ve already made will be greatly accelerated by this agreement,’’ Mark Bristow, Barrick’s chief executive officer, said. “Twiga, which will give the government full visibility of and participation in operating decisions made for and by the mines, represents our new partnership not only in spirit but also in practice.” The breakthrough ends a disagreement between Tanzania and a Barrick subsidiary that started in 2017. Tanzania banned the export of unprocessed metals by miners, subsequently presenting Acacia with a $190 billion tax bill, equivalent to two centuries of revenue.

Acacia which owned the three mines in Tanzania, was bought by Barrick this year. For almost two years, barrack has been leading negotiations with Tanzania over terms of the deal, first negotiated by the company’s Executive Chairman john Thornton. The agreement means that Tanzanians would share fully in their nation’s mineral wealth, barrack said.

Read more at: Barrick Agrees to Pay $300 Million to End Tanzania Dispute
Copyright BloombergQuint'

JPM Hapa Kazi Tu.
Msumari wa mwisho
 
..serikali ilisema tunawadai usd 191 billion.

..sasa kama wameamua kulipa usd 300 million, na wakilipa kiasi hicho kila mwaka, itawachukua miaka zaidi ya 600 kumaliza deni la usd 191 billion.

..kwa maoni ya kukubali usd 300 million ni uhujumu, usaliti, na uhaini.
Imekuuma sana
 
Una uhakika mjumbe wa mtaa hakuwepo pia unafikiri kila upekuzi hata waofisini lazima mjumbe wa mtaa awepo kwani viongozi wa bandari hawakuwepo? Think beyond....!!!
Na ndio maana uchunguzi wao umekosa nguvu za kisheria! Jibu swali la msingi: Kama uchunguzi wa akina Mruma una ground za kisheria, ni kwanini basi serikali ikubali kuchukua less than 1% badala ya kutumia ushahidi huo popote pale duniani kuwataka Acacia walipe walichostahili kulipa??!!!

Btw, hata kama viongozi wa bandari wangekuwepo, unatarajia wangewakilisha maslahi ya Acacia badala ya serikali?!
 
..unafurahia kichapo tulichopewa na Barrick?

..serikali ilisema tunawadai accacia / bartick usd 191 billion halafu wao wameamua kutulipa usd 300 million.

..sasa aliyepokea kichapo ni sisi au mabeberu majizi wa accacia / barrick?

..hivi unafikiri mabeberu wangekuwa wanatudai usd 191 billion wangekubali tuwalipe kishika uchumba cha usd 300 million?
Umeumia sana aisee,MIGA mmefikia wapi?
 
The agreement means a ban on export of concentrates will be lifted..
Leseni yangu mpaka hapo haina kazi.
 
..serikali ilisema tunawadai usd 191 billion.

..sasa kama wameamua kulipa usd 300 million, na wakilipa kiasi hicho kila mwaka, itawachukua miaka zaidi ya 600 kumaliza deni la usd 191 billion.

..kwa maoni ya kukubali usd 300 million ni uhujumu, usaliti, na uhaini.
300 million USD kumaliza mzozo huu ni chump change.

Ni hela ya kumpa mtoto anunue pipi ili umuibue jumba lake la urithi.
 
Umeumia sana aisee,MIGA mmefikia wapi?
Mwangalieni mwingine!!

Serikali ilikuwa inadai USD 190 Billion!!

Acacia wanatarajia kulipa USD 300M ambayo ni less than 1%!!

Hivi hata kwa akili ya kawaida tu, nani hapo kashinda?!! Kwenye yale makinikia yaliyorundikana kwa miaka zaidi ya miwili sasa, unadhani watakomba USD ngapi?!

Hivi nyie watu ni kweli hamuelewi au mnaleta siasa kwenye serious issues?! Hivi hata wewe ungekuwa ndo Acacia... unadaiwa USD190B lakini serikali inaridhia kuchukua USD 300M na kuachia makinikia, ungeenda MIGA kufanya nini?!
 
Back
Top Bottom