Barchelor of arts in kiswahili

Barchelor of arts in kiswahili

Mwambie kama ana penda kundisha kiswahili, akasome BAEd achukue kiswahili kama somo tu

La si hivo kozi ni hatari kwa afya yake hiyo
Aiseeee nashindwa ntaanzaje kumwambia anaweza kuhisi natamani asome namimi coz moja ya BAED....daaaaah ntajitahidi kumuelewesha akikataa basi...labda mungu atakua kamuita huko....
 
Iv wadau na hii course ya Bachelor of education in psychology
Sio kama hii tu ambayo baada ya kuhitim unajiajir au huo n ualim wa kawaida
 
Vp ajira baada ya kumaliza hii corze ya b of arts in archeology?? Au market yke ipo wap baada ya kuhitimu?
Archaeology dah ni pana sana pia wapo wachache lkn sana sana kaz ni makumbusho yan au upige sana uchukue master yke uwe lecturer somewhere
 
Iv wadau na hii course ya Bachelor of education in psychology
Sio kama hii tu ambayo baada ya kuhitim unajiajir au huo n ualim wa kawaida
Ss hv hamuajiliwi km walimu coz mnafundisha somo moja mnakula hela za bure nkumbuka rfiki yngu aliniambia kw ud wanataka waitoe cjui km kweli yn hpo utakuwa mkufunzi tu vyuoni km utapata chance
 
Ss hv hamuajiliwi km walimu coz mnafundisha somo moja mnakula hela za bure nkumbuka rfiki yngu aliniambia kw ud wanataka waitoe cjui km kweli yn hpo utakuwa mkufunzi tu vyuoni km utapata chance
Duuuh alaf nmeitupia kwenye second round.
Nashkur Mkuu kwa msaada maana mm mwenyew n poor peasant
Kujiajir n uongo zaid ya shamba tu
 
Ss hv hamuajiliwi km walimu coz mnafundisha somo moja mnakula hela za bure nkumbuka rfiki yngu aliniambia kw ud wanataka waitoe cjui km kweli yn hpo utakuwa mkufunzi tu vyuoni km utapata chance
sasa Mkuu kwamfano nikachaguliwa iyo kuna uwezekano wa kuibadilisha nikiwa chuon
 
Mh wakuu hapo kichwa kinauma inabd niwateme ili nikaaply mwakan kama vp maana coz zngine ni upuuz mtupu

Spend ujinga mimi
 
sasa Mkuu kwamfano nikachaguliwa iyo kuna uwezekano wa kuibadilisha nikiwa chuon
Kuhama course chuo si mchezo km kubadilisha mchepuo advance unatakiwa ukomae kweli ukabar kusumbuliwa mpka ulie ila utafanikiwa
 
Back
Top Bottom