Barchelor of arts in kiswahili

Barchelor of arts in kiswahili

NIMESHITUKA NDUGU YANGU,IKIMBIE HARAKA KWAKUENDA KUBADILISHA.NA WENGI PASIPO KUULIZA WAMEJIKUTA WANAINGIA HUKO WANAKUJA KUJUTA BAADA YA KUANZA MASOMO.HIYO KOZI SI YA UALIMU NI YA UBOBEZI TU WA KISWAHILI KWA HIYO AJIRA ZAKE SANA SANA UAJIRIWE BAKITA.HUKO NYUMA WALIKUWA KWENYE UALIMU WANAWACHUKUA LKNHULIPWI KAMA MWALIMU KWASABABU HIYO KOZI SI UALIMU.WAKATI HUU UTASOTA NDUGU YANGU MAANA UTAENDA KUBOBEA KWENYE MAHISTORIA YA LUGHA,KAMUSI NK.HII KOZI PACHA WAKE ANAITWA BACHELOR OF ARTS IN ENGLISH
Ahsante mkuu vp kuhusu kubadili coz coz chuon hakuna usumbufu wowote??
 
NI UFUATILIAJI WAKO NA UFAULU WAKO.KABADILISHE MAPEMA SANA
 
NIMESHITUKA NDUGU YANGU,IKIMBIE HARAKA KWAKUENDA KUBADILISHA.NA WENGI PASIPO KUULIZA WAMEJIKUTA WANAINGIA HUKO WANAKUJA KUJUTA BAADA YA KUANZA MASOMO.HIYO KOZI SI YA UALIMU NI YA UBOBEZI TU WA KISWAHILI KWA HIYO AJIRA ZAKE SANA SANA UAJIRIWE BAKITA.HUKO NYUMA WALIKUWA KWENYE UALIMU WANAWACHUKUA LKNHULIPWI KAMA MWALIMU KWASABABU HIYO KOZI SI UALIMU.WAKATI HUU UTASOTA NDUGU YANGU MAANA UTAENDA KUBOBEA KWENYE MAHISTORIA YA LUGHA,KAMUSI NK.HII KOZI PACHA WAKE ANAITWA BACHELOR OF ARTS IN ENGLISH
Hahaaa mkuu Nimependa hapo kwenye pacha wake. .
 

MASAHIHISHO:

PACHA WAKE ANAITWA
"Bachelor of Arts in Language Studies"
NA SIO
" .... in English".
NINACHOMAANISHA MM HAPO NI KWAMBA HIYO KOZI IPO SIJAJUA WEWE HAPO UNAMAANISHA NINI?ULICHOANDIKA WEWE PIA KIPO SIKATAI ILA MASAHIHISHO YAKO SIJAONA UMUHIMU WAKE
 
NIMESHITUKA NDUGU YANGU,IKIMBIE HARAKA KWAKUENDA KUBADILISHA.NA WENGI PASIPO KUULIZA WAMEJIKUTA WANAINGIA HUKO WANAKUJA KUJUTA BAADA YA KUANZA MASOMO.HIYO KOZI SI YA UALIMU NI YA UBOBEZI TU WA KISWAHILI KWA HIYO AJIRA ZAKE SANA SANA UAJIRIWE BAKITA.HUKO NYUMA WALIKUWA KWENYE UALIMU WANAWACHUKUA LKNHULIPWI KAMA MWALIMU KWASABABU HIYO KOZI SI UALIMU.WAKATI HUU UTASOTA NDUGU YANGU MAANA UTAENDA KUBOBEA KWENYE MAHISTORIA YA LUGHA,KAMUSI NK.HII KOZI PACHA WAKE ANAITWA BACHELOR OF ARTS IN ENGLISH
Kweli kbs aisee Course Hyo Labda uchukue Ukiwa Unaenda kusoma masters ila kwa degree hy lzm ukufe na shida za kimaisha
 
Wakuu naomba msaada ukipangwa hiyo coz unakuwa unasomea kuwa mtu gani tz hii?? Na ajira za wanaosoma single subject znakuwa zip??

Hii kozi ni raha Sana kuisoma kwani unafaulu Sana na inaeleweka vizuri.

Ila vumbi linakuja baada ya kuhitimu,
Mimi na Wanangu kibao wahitimu wa hiyo kozi tunapigwa na Jua huku kitaa!
 
Aiseee rafiki angu kapangwa hii coz sijui ntamwambiaje kua haina soko ili aikimbie mapema coz nayeye sio familia bora anategemea ajira za serikalini
 
Aisee Bora ungepata education then ungechukua somo la kiswahili na somo lingine as a teaching subjects,hiyo ajira yake ni sheeda
 
Vp ajira baada ya kumaliza hii corze ya b of arts in archeology?? Au market yke ipo wap baada ya kuhitimu?
 
Baba jiandae kuwa mwalimu wa KISWAHILI.no way out
 
Watu huwa hawajui lengo ka hizi kozi, nyingi ziliwekwa kuwafundisha ma foreigners hasa basics za lugha yetu, lakini huwezi kumzuia mtu kuisoma kama ana taka ila mwisho wa siku hakuna pa kwenda, ukisema uende BAKITA kuna vile vizee huwa havitoki kazi kuweka misamiati migumu tuu, mara kisimbuzi, nywila kidadavuzi mpakato, ilimradi tuu vionekane vina fanya kaz na visi tolewe
 
Aiseee rafiki angu kapangwa hii coz sijui ntamwambiaje kua haina soko ili aikimbie mapema coz nayeye sio familia bora anategemea ajira za serikalini
Mwambie kama ana penda kundisha kiswahili, akasome BAEd achukue kiswahili kama somo tu

La si hivo kozi ni hatari kwa afya yake hiyo
 
Watu huwa hawajui lengo ka hizi kozi, nyingi ziliwekwa kuwafundisha ma foreigners hasa basics za lugha yetu, lakini huwezi kumzuia mtu kuisoma kama ana taka ila mwisho wa siku hakuna pa kwenda, ukisema uende BAKITA kuna vile vizee huwa havitoki kazi kuweka misamiati migumu tuu, mara kisimbuzi, nywila kidadavuzi mpakato, ilimradi tuu vionekane vina fanya kaz na visi tolewe

Vizee noma. Vinatunga misamiati rasmi wakati hakuna anayeitumia. Matokeo yake misamiati hii inabakia vitabuni tu mwishowe inajifia yenyewe. Hata faida yake huwa siioni!
 
NIMESHITUKA NDUGU YANGU,IKIMBIE HARAKA KWAKUENDA KUBADILISHA.NA WENGI PASIPO KUULIZA WAMEJIKUTA WANAINGIA HUKO WANAKUJA KUJUTA BAADA YA KUANZA MASOMO.HIYO KOZI SI YA UALIMU NI YA UBOBEZI TU WA KISWAHILI KWA HIYO AJIRA ZAKE SANA SANA UAJIRIWE BAKITA.HUKO NYUMA WALIKUWA KWENYE UALIMU WANAWACHUKUA LKNHULIPWI KAMA MWALIMU KWASABABU HIYO KOZI SI UALIMU.WAKATI HUU UTASOTA NDUGU YANGU MAANA UTAENDA KUBOBEA KWENYE MAHISTORIA YA LUGHA,KAMUSI NK.HII KOZI PACHA WAKE ANAITWA BACHELOR OF ARTS IN ENGLISH

Bwana mdogo kila mtu na bahati yake... Mh. Benjamin Mkapa alipiga BA in English na akawa president!!
 
Vizee noma. Vinatunga misamiati rasmi wakati hakuna anayeitumia. Matokeo yake misamiati hii inabakia vitabuni tu mwishowe inajifia yenyewe. Hata faida yake huwa siioni!

Uwa vinataka tuone vinaoiga kaz et na tusivutoe
 
Wanasiasa si huwa wana jibu lao maridhawa kabisa la "Vijana Mjiajiri". Ngoja tuwaone wakushauri ukajiajiri; labda ufungue kozi ya kuwafundisha wageni "vivumishi", "ngeli" na "lahaja za Kiswahili". Walivyo hodari sasa kusema mjiajiri kana kwamba ni rahisi sana kwa kila mhitimu na kwa kila kozi anayosomea!!

Ushauri wangu: Ukishindwa kubadilisha soma tu, kwani utapata elimu na pia si wote walioajiriwa wanafanya kazi kwa kozi walizosomea. Kuwa na digrii yako lakini unaweza kufanikiwa katika maisha hata katika shughuli nyingine.
 
Back
Top Bottom