Hakuna timu za kijinga kama simba na yanga, yaani ukigombana na mmoja wapo wengine wanaona sana fahari kukupokea, ndo maana kina morisson wamejipigia sana pesa kwa hawa mafala, na Manara pia...
Eti leo yanga timu yangu inamuona mkude ni mtu, mchezaji ana kila tuhuma za utovu wa nidhamu, yaani haya matimu kuna muda wanafanya maamuzi ya kifala sana