interprevist
Member
- Apr 2, 2012
- 34
- 13
Kuna wakati iliwahi kutolewa pendekezo hapa jamvini kuwa BAWACHA wamekuwa kimya sana katika kujitangaza ikiwa ni kama mkakati mmojawapo wa kuwafikia kina mama wengi zaidi katika SIASA za CHADEMA. Ilipendekezwa kwamba wawe wanatumia njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutoa matamko ya kupongeza, kulaani, n.k. Cha kushangaza hadi leo hii hatuoni jitihada za maksudi katika hili. mfano hata kutoa tamko la kulaani kushambuliwa na kujeruhiwa vibaya kwa makamanda wetu kule mwanza, Au hata kutoa tamko la kupongeza jambo jema ambalo Mungu ametufanyia watanzania Kwa kutupatia Mbunge kutoka chama makini (CHADEMA)- Mh. Joshua Nassari. BAWACHA mko wapi?
Mimi hata mwenyekiti wake sina uhakika kama namfahamu, mbona kina Heche twawzfahamu?
CHADEMA ifanye nini ili kuilazimisha BAWACHA ifanye kazi yake. au kuna haja gani BAWACHA kuwepo?
Mimi hata mwenyekiti wake sina uhakika kama namfahamu, mbona kina Heche twawzfahamu?
CHADEMA ifanye nini ili kuilazimisha BAWACHA ifanye kazi yake. au kuna haja gani BAWACHA kuwepo?