Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
S0750/0531Oshara mkuu..
F
15
III
G/STUDIES - 'E' HISTORY - 'S' KISWAHILI - 'D' ENGLISH - 'E'
S0750/0531Oshara mkuu..
S0750/0531
F
15
III
G/STUDIES - 'E' HISTORY - 'S' KISWAHILI - 'D' ENGLISH - 'E'
S0750/0530Ahsante sana mkuu.. Naomba na ya huyu S0750/0530..
Mkuu, tayari nimeshakuwekeaAhsante sana mkuu.. Naomba na ya S0750/0530.
Si jambo la ajabu shule ya Serikali kuongoza kidato cha sita mkuuGhafla bin vuuuuuu shule za serikali zinaongoza...is it real?
Mkuu, tayari nimeshakuwekea
Sababu ikiwa ni ipi mkuu?Mimi nina mashaka sana na haya matokeo walah tena!
Kutokana na mwenendo wa nchi naouona nahisi tofauti tu aiseesababu ikiwa ni ipi mkuu?
Kwamba shule za Serikali zitakuwa zinapenyezewa kitu? Au za private kukaziwa sana ktk swala la usahihishaji?Kutokana na mwenendo wa nchi naouona nahisi tofauti tu aisee
Baraza la mitihani nchini(NECTA)limetangaza Matokeo ya kidato Cha sita ambapo shule ya sekondari Kibaha imeongoza.
Kuangalia matokeo, Bofya
Mkuu, hata TO toka Tabora Boys ana 1.4. Yaonekana kama hakuna 1.3. taifa zima mwaka huu. TO ni huyu:Kibaha wamejitahidi sana ila pamoja na kufaulu sana hamna I ya point 3
Yote kwa yote hongera kwao na walimu wao!!
S0219/0868Naomba niangalizie songea girls 868 na 869
Precious precious Kibaha an honoured special school... Special school located in the coast region....Precious precious Kibaha... Daah . Struggle for success is our school motto... nafurahi kupit a KSS, hongera sana madogo, ndo special school iliyobaki Tanzania kwasasa
Mzumbe kuna 3 ya pcbMkuu, hata TO toka Tabora Boys ana 1.4. Yaonekana kama hakuna 1.3. taifa zima mwaka huu. TO ni huyu:
S0155/0588
M
4
I
G/STUDIES - 'S' PHYSICS - 'A' CHEMISTRY - 'B' ADV/MATHS - 'A'