Baraza la Mawaziri lilikuwa na PhD holders wangapi?

Lupweko

JF-Expert Member
Mar 26, 2009
20,662
20,416
Wakuu,
Tumesikia watu wakishangaa Benki Kuu kuwa na PhD holders 17 lakini hawakurekodi dhahabu kama export yetu kwa muda wote huo. Sasa na mimi ningependa kujua, mabaraza ya mawaziri kwa nyakati tofauti za kupitia mikataba mikubwa kama ya madini, vikao vyao vilikuwa na PhD ngapi?
 
Swala hapa sio usomi,swala ni uaminifu! Mtu msomi anajua vizuri kuiba vibaya kuliko zuzu! Nilivunjiwa duka wezi wakaiba screen za komputer na keyboard wakaniachia CPU wangekuwa wamesoma wangenifilisi
 
Kusoma si hoja.Hoja ni uzalendo basi.Wapo wasomi ambao hawawajali hata wazazi wao waliowazaa.Msomi kama huyo akipewa uongozi unategemea nini hapo?
 
Back
Top Bottom