wameshituka wakati wao wako bize kuwataarifu watu wa mitandaoni ambao wengi wao wapo nje ya nchi ccm wako bize kuwapa taarifa watu kwenye sehemu husika ambao hasa ndo wapiga kura halisi.
naona na kadima wamelishitukia hilo.
Kuna kikao cha CHADEMA kinaendelea Mlimani city . Inasemakana ni Baraza kuu. Mbona wakina Tumaini Makene, Kurugenzi ya Habari hawajatupa habari yoyote kuhusiana na hiki kikao?. Mwenye Taarifa ya uhakika juu ya hiki kikao atujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.