Baraza kuu CHADEMA wakutana Dar es Salaam

Baraza kuu CHADEMA wakutana Dar es Salaam

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,715
Reaction score
59,251
Kuna kikao cha CHADEMA kinaendelea Mlimani city . Inasemakana ni Baraza kuu. Mbona wakina Tumaini Makene, Kurugenzi ya Habari hawajatupa habari yoyote kuhusiana na hiki kikao?. Mwenye Taarifa ya uhakika juu ya hiki kikao atujuze.
10330247_729529780427671_6213161264564508281_n.jpg
 
Last edited by a moderator:
Kuna mnyetishaji kanitonya kuwa wameitisha kikao kimyakimya bila kuwataarifu wajumbe wengine makusudi ili wapigwe msasa pamoja na vitisho kibao. Nia na tahadhima ni kumvua uanachama kijana msomi na shujaa.
 
Hiyo bila shaka ni kamati kuu kujadili hatua za kuchukua kuhusu bunge la katiba baada ya kikao cha raisi na TCD
 
Kuna mnyetishaji kanitonya kuwa wameitisha kikao kimyakimya bila kuwataarifu wajumbe wengine makusudi ili wapigwe msasa pamoja na vitisho kibao. Nia na tahadhima ni kumvua uanachama kijana msomi na shujaa.

Tanzania ni nchi ya tisa kwa watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri nadhani wewe unamchango mkubwa sana kwenye hili

kwaiyo chadema kabla ya kuanza kikao chochote lazima itoe taarifa jf????

na huyo aliyetajwa(makene)kwamba hajatoa taarifa hapa jf mbona chaguzi za bavicha bawacha na bazecha hakutoa taarifa hapa lakini chaguzi zilifanyika na zilikuwa za haki?????

ur partner in critical thinking
 
Kuna mnyetishaji kanitonya kuwa wameitisha kikao kimyakimya bila kuwataarifu wajumbe wengine makusudi ili wapigwe msasa pamoja na vitisho kibao. Nia na tahadhima ni kumvua uanachama kijana msomi na shujaa.
wewe unayependa kunyetishwa ni me au ke?
naomba jibu tafadhali , na jambo zuri sana dhidi yako.
 
Kuna kikao cha CHADEMA kinaendelea Mlimani city . Inasemakana ni Baraza kuu. Mbona wakina Tumaini Makene, Kurugenzi ya Habari hawajatupa habari yoyote kuhusiana na hiki kikao?. Mwenye Taarifa ya uhakika juu ya hiki kikao atujuze.
10330247_729529780427671_6213161264564508281_n.jpg

Itakua Mbowe hataki kuachia nafasi ya uenyekiti wa Chadema ndio maana ameitisha hiyo meeting na baadhi ya wajumbe kutopewa taarifa ili watishwe kwanza kabla ya uchaguzi.
 
Last edited by a moderator:
So, hukuwa unajua kuwa leo Baraza Kui linakutana na kesho Sept 14 ni Mkutano Mkuu! kwaheri
 
Mbona umekupuka hivyo dada, soma ulichoandika, ukimaliza soma ratiba ya uchaguzi ya chadema iliyotolewa mda tu
Kuna mnyetishaji kanitonya kuwa wameitisha kikao kimyakimya bila kuwataarifu wajumbe wengine makusudi ili wapigwe msasa pamoja na vitisho kibao. Nia na tahadhima ni kumvua uanachama kijana msomi na shujaa.

.2.3 Kamati kuu imepitisha
ratiba ya uchaguzi wa ndani ya
chama kama ilivyopendekezwa
na Sekretariati, kama ifuatavyo;
Hadi tarehe 30/07/2014-
kukamilika uchaguzi wa kata
Hadi tarehe 15/08/2014-
kukamilika chaguzi za
majimbo/wilaya
Hadi tarehe 30/08/2014-
kukamilika chaguzi za mikoa
Tarehe 6/09/2014- Uchaguzi
wa Baraza la Wazee
Tarehe 10/09/2014- Uchaguzi
BAVICHA
Tarehe 11/09/2014- Uchaguzi
BAWACHA
Tarehe 12/09/2014- Kamati
Kuu
Tarehe 13/09/2014- Baraza
Kuu
Tarehe 14/09/2014- Mkutano
Mkuu
Tarehe 15/09/2014- Baraza
Kuu
Tarehe 16/09/2014- Kamati
Kuu Mpya
 
Mbona umekupuka hivyo dada, soma ulichoandika, ukimaliza soma ratiba ya uchaguzi ya chadema iliyotolewa mda tu

.2.3 Kamati kuu imepitisha
ratiba ya uchaguzi wa ndani ya
chama kama ilivyopendekezwa
na Sekretariati, kama ifuatavyo;
Hadi tarehe 30/07/2014-
kukamilika uchaguzi wa kata
Hadi tarehe 15/08/2014-
kukamilika chaguzi za
majimbo/wilaya
Hadi tarehe 30/08/2014-
kukamilika chaguzi za mikoa
Tarehe 6/09/2014- Uchaguzi
wa Baraza la Wazee
Tarehe 10/09/2014- Uchaguzi
BAVICHA
Tarehe 11/09/2014- Uchaguzi
BAWACHA
Tarehe 12/09/2014- Kamati
Kuu
Tarehe 13/09/2014- Baraza
Kuu
Tarehe 14/09/2014- Mkutano
Mkuu
Tarehe 15/09/2014- Baraza
Kuu
Tarehe 16/09/2014- Kamati
Kuu Mpya
Asante mkuu kwa taarifa kwa sababu kuna watu wanajua kuropoka sana bila kuwa na uthibitisho
 
Mbona umekupuka hivyo dada, soma ulichoandika, ukimaliza soma ratiba ya uchaguzi ya chadema iliyotolewa mda tu

.2.3 Kamati kuu imepitisha
ratiba ya uchaguzi wa ndani ya
chama kama ilivyopendekezwa
na Sekretariati, kama ifuatavyo;
Hadi tarehe 30/07/2014-
kukamilika uchaguzi wa kata
Hadi tarehe 15/08/2014-
kukamilika chaguzi za
majimbo/wilaya
Hadi tarehe 30/08/2014-
kukamilika chaguzi za mikoa
Tarehe 6/09/2014- Uchaguzi
wa Baraza la Wazee
Tarehe 10/09/2014- Uchaguzi
BAVICHA
Tarehe 11/09/2014- Uchaguzi
BAWACHA
Tarehe 12/09/2014- Kamati
Kuu
Tarehe 13/09/2014- Baraza
Kuu
Tarehe 14/09/2014- Mkutano
Mkuu
Tarehe 15/09/2014- Baraza
Kuu
Tarehe 16/09/2014- Kamati
Kuu Mpya
Natumia simu toka Guanzho. Pokea LIKE MKUU
 
Leo dogo ZZK lazima aliwe , hakuna jinsi. Yeye si alikuwa analilia baraza kuu bila kujua kuwa watachaguliwa wajumbe wapya. Sijui atasingizia nini tena wakati pingamizi lake lilikuwa linadai baraza kuu na ndo hilo linamtahiri leo
 
Tanzania ni nchi ya tisa kwa watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri nadhani wewe unamchango mkubwa sana kwenye hili

kwaiyo chadema kabla ya kuanza kikao chochote lazima itoe taarifa jf????

na huyo aliyetajwa(makene)kwamba hajatoa taarifa hapa jf mbona chaguzi za bavicha bawacha na bazecha hakutoa taarifa hapa lakini chaguzi zilifanyika na zilikuwa za haki?????

ur partner in critical thinking

Chadema noma maana: Bazecha, Bawacha na Bavicha. Aliyebuni majina haya alikuwa anajua sana
 
Mkutano mkuu CHADEMA LIVE kupitia ITV DAIMA Siku ya Jumapili 14/09/2014 saa 4:00 asubuhi hadi saa 6:00 mchana na baadae saa 11:00 jioni hadi saa 1:00 Usiku!
 
Back
Top Bottom