Habari za ndani kutoka chanzo cha uhakika zinasema Mbunge wa simanjiro Mh Ole Sendeka atakuwa waziri wa maliasili na utali chanzo hicho kinasema pia agrey mwandi atapewa uwaziri kamili wa tamisemi.
Bado sendeka anasubiri mkuu anafikiri yatarudiwa!!!Jk asingeweza kumteua huyu mbunge wa Simanjiro.
Hana jipya..next time muwe makini na tetesi zenu.