nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,901
- 14,611
huangalia fursa,hawa ma cow boy ni wahuni haswa.marekani ni zaidi ya uijuavyo, wewe unafikiri wanaenda kutibu kumbe wao waenda ni mission nyingine kabisa
huangalia fursa,hawa ma cow boy ni wahuni haswa.marekani ni zaidi ya uijuavyo, wewe unafikiri wanaenda kutibu kumbe wao waenda ni mission nyingine kabisa
Shikamoo bibi 😀😀😀:
Unataka kuninyima nini...lol:A S wink:
Nataka kukunyima uji tu,nasikia umezaliwa enzi za Yesu,ni ajabu mpaka leo wajua tumia smartfon,na una hoja kali balaaa,mi mpaka nikuijie na id zangu zote labda ntakuwezapooo
Huo ni mpango wa Africa Command(Africom) ku position assets ku counter Chinese influence maeneo hayo
Marekani anatumia strategy ya containment.Ni strategy ambayo unambana adui yako katika aspects nyeti kama nishati,eneo la kijiografia etc
Tukio kama hili linafanyika Southeast Asia ambapo America anjenga kambi mpya za Airforce na Navy.Lengo ni ku disrupt supply lines za China na to some extent Russia
Wakubwa wanajiandaa na WW3
Kwa kweli nimeanza kuogopa sana...
Ndio maana wameanza kuandika Tz ina chance kubwa ya kupata Ebola...maybe ni next in their plan sababu ya dominance ya China hapa nchini...
Masikini bara langu Afrika...
Mkuu kuhusu kusini mwa Afrika usiwe na wasi.SADC ilikubaliana kuwa hakutokuwa na foreign bases za nchi yeyote ndani ya member states.Ondoa shaka.SADC imesimama imara
Thank you God...hakika SADc vichwa...ila hawawezi kutudungua toka huko west?
US military base ni majanga...hata Japan ambao ni washirika wa karibu wanakomaje kuwa host wanajeshi wa marekani...ni full ubakaji ....
Te te te...unacheza na bibi bomba weye....😛eep:
Hapana chezeyaaaaaaa
.....s
Underlying principle ni divide and conquer.Hata kama West wanachukia vipi hawawezi kutudhuru kama tuna umoja.Umoja na mshikamano ni kitu muhimu sana kwa nchi zetu changa
Japan na Germany basically ni colonies za US.Inasiktisha
Nigeria ni nchi pekee iliyoweza kutokomeza kabisa janga hili la ebola. Lakini mbona wao sijasikia wametokomeza kwa kutumia hao wanajeshi? Km kweli nia ni kutokomeza ugonjwa kwanini wasiwasaidie AM kwa njia alizotumia Nigeria ?
Patrick Elias tembelea hapa
https://www.jamiiforums.com/international-forum/742654-truth-about-ebola-5.html#post10949440
Pitia post zangu na wadaue wengine bila kusahau ya juve2012.
Na mimi nasema SIKUBALIANI NA MANENO ACHILIA MBALI MAWAZO YAKO!!! Kilichoifanya Marekani na washirika wake kupeleka jeshi huko ni mali hasa dhahabu na mafuta!! unaposema madaktari hawatakubali unamaanisha nini? unajua Cuba ma DR wangapi wamepelekwa AM? hili swala la kupeleka majeshi ma sio ma-DR kupambana kamwe haina logic yoyote!!
Umesoma wapi hio? Maana hata Marekani wenyewe hawajasema hivyo. Sasa ndugu, wewe hio umetoa wapi au umefikiria mwenyewe?
https://www.jamiiforums.com/international-forum/742654-truth-about-ebola-5.html#post10949553
Na wewe unaamini WANAJESHI WANAPAMBANA NA EBOLA?:angry:Hao madaktari unawaomba ama unawaamulu? Hilo la kwamba wanafuata mali siwezi kujibu make ni hisia zako tu na siwezi kukufundisha kuhisi, nimejaribu kufuatilia habari mbalimbali sijaona nchi ambayo imetuma wanajeshi kuchukua mali bali naona kuna nchi zimetuma wanajeshi kupambana ebola