Barabara zapigwa deki Musoma

Manosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2012
Posts
4,510
Reaction score
3,595
Wakazi wa mji wa Musoma waamua kuonyesha mahaba kwa mkombozi wa Tanzania mh Edward Lowasa

Hakika mkoa wa Mara mabadiliko yamefika
 

Attachments

  • 1444551992890.jpg
    96.5 KB · Views: 1,368
  • 1444552019568.jpg
    96.3 KB · Views: 1,239
  • 1444552043420.jpg
    115.1 KB · Views: 1,204
  • 1444552073659.jpg
    129.9 KB · Views: 1,186
Dah.......Kweli muda wa ukombozi umefika, haya ni zaidi ya Mahaba.
 
musoma muda huu ni balaa. Ni kama Christmas musoma Leo. Leo jumapili wanepiga deji Barbara inayotoka hotel ya Matvilla aliyolala Lowasa ili apite pakiwa pasafi
 

Attachments

  • 1444552282166.jpg
    21.3 KB · Views: 2,581
  • 1444552294477.jpg
    27.8 KB · Views: 2,633
  • 1444552304225.jpg
    26 KB · Views: 1,056
  • 1444552318331.jpg
    23.3 KB · Views: 1,056
Niliiona na hii hivi kapewa lini?
 

Attachments

  • 1444552405151.jpg
    105.4 KB · Views: 939
Kuna watu lazima watapata stroke kabla ya 25/10

cc stroke, [MENTION]Lizabon[/MENTION], [MENTION]Tumainel[/MENTION], [MENTION]Mzeemwanakijiji[/MENTION].
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli huo mji wangu nawapenda sana na nyie nawaamini sio watu wa kutaniwa taniwa hovyo
 
Wandugu mnataka kusababisha vifo kwa CCM hawakawii kutangaza kuwa ni marufuku kusafisha mji wa Musoma.
 
Da watu wanampenda mpaka basi..ata waseme nini sisi na Lowassa *****
 
musoma muda huu ni balaa. Ni kama Christmas musoma Leo. Leo jumapili wanepiga deji Barbara inayotoka hotel ya Matvilla aliyolala Lowasa ili apite pakiwa pasafi

Viva makamanda wa Musoma! Hakuna kulala mpaka baba Lowassa aingie ikulu ya Magogoni.
 
Jamani jamani!Hiyo picha ya mwisho huyo jamaa mwenye shati jeupe si kaka yangu popoma GENTAMYCINE?
Kumbe ndio maana haonekani humu?
Kweli Magufuli alinena,kuna watu mchana wako CCM usiku UKAWA.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…