Barabara za Dar ni mbovu sana.

Barabara za Dar ni mbovu sana.

Amalinze

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2012
Posts
6,780
Reaction score
5,318
Heshima kwenu JF,
kwanza napenda kuwapa pole kwa pilika pilika za kujitafutia kipato na foleni za dsm,kiukweli barabara za dsm ni mbovu ajabu nianze na hizi na wewe utaongezea

1.Mwai kibaki:-Kuna kipande cha hapo may fair ni kibovu sana inachukua takribani dakika 40 kutoka ubalozi wa marekani hadi tmj,wadau tunaomba mrekebishe hicho kipande mnawatia umasikini wa-tz kwa kuchoma mafuta pasipo kuwa na 7bu za kumsingi

2.Migombani road:-kipande cha kutoka kwa kikwete kuitafuta kairuki aiseeee ni balaaaa yani mashimo kama maaandaki chemba zunavuja na kufanya erosion ya lami na kutengeneza mduara mithiri ya crater tunaomba halmashauri muweke hata kifusi trip moja tu inatosha kurekebisha kwa temporary wakati tukisubiri permanent solution.

3.Akachube road:-kipande cha pale karibu na kona ya kwenda m/nyamala kwenye kota za jeshi kuna shimo kubwa sana barabarani plz wahusika do the needful

4.Njia panda ya kairuki kuitafuta mwalimu nyerere-rose garden road:-Hapa kuna njia mbili kuna ile ya kunyoosha yani ukitoka migombani haukunji unaenda moja kwa moja kupita uwanjani,ukiacha rami pale kuna mabwawa mawili hayakauki sijui maji yametoka wapi? ukiingiza gari nusu nzima inazama yani ni hatari ukitaka usipate balaaa hilo la bwawa basi utakunja kushoto kwenda kairuki hospital then unakunja kulia pale kairuki changamoto ya njia hiyo ni balaaa yani mashimo makubwa kama gari ipo chini full kugonga exhaust pipe.

Please mamlaka husika ebu fanyeni mtuondolee hizi kelo sehemu ya kwenda dakika 20 tunatumia masaa ma2 ni kero kupoteza mda na mafuta.

Wako LBG,Kigali.
 
kimweri road:maeneo ya ccbrt mashimo makubwa sana na yanasababisha foleni
chole road:kona ya slipway hapafai ni mashimo na madimbwi
haile selasie road:maisha club hapafai,international school hapafai

magufuli na manispaa ya kinondoni mko wapi??
 
kimweri road:maeneo ya ccbrt mashimo makubwa sana na yanasababisha foleni
chole road:kona ya slipway hapafai ni mashimo na madimbwi
haile selasie road:maisha club hapafai,international school hapafai

magufuli na manispaa ya kinondoni mko wapi??

Ni aibu yani hadi huko prime areas nako majanga.
 
Afadhali waanzie na tandale road kunakopita vibajaji na bodaboda kwa mujibu wa sheria. huko kwa washua ma-vx yanamudu.

barabara ya tandale sinza ni mbayaa!!!! (imepita ubovu)
 
Thanks to fisadi Magufuli mmoja wa wagombea urais watarajiwa wa MACCM 2015...Wamethubutu, wameweza na sasa wanasonga mbele.
 
Heshima kwenu JF,
kwanza napenda kuwapa pole kwa pilika pilika za kujitafutia kipato na foleni za dsm,kiukweli barabara za dsm ni mbovu ajabu nianze na hizi na wewe utaongezea

1.Mwai kibaki:-Kuna kipande cha hapo may fair ni kibovu sana inachukua takribani dakika 40 kutoka ubalozi wa marekani hadi tmj,wadau tunaomba mrekebishe hicho kipande mnawatia umasikini wa-tz kwa kuchoma mafuta pasipo kuwa na 7bu za kumsingi

2.Migombani road:-kipande cha kutoka kwa kikwete kuitafuta kairuki aiseeee ni balaaaa yani mashimo kama maaandaki chemba zunavuja na kufanya erosion ya lami na kutengeneza mduara mithiri ya crater tunaomba halmashauri muweke hata kifusi trip moja tu inatosha kurekebisha kwa temporary wakati tukisubiri permanent solution.

3.Akachube road:-kipande cha pale karibu na kona ya kwenda m/nyamala kwenye kota za jeshi kuna shimo kubwa sana barabarani plz wahusika do the needful

4.Njia panda ya kairuki kuitafuta mwalimu nyerere-rose garden road:-Hapa kuna njia mbili kuna ile ya kunyoosha yani ukitoka migombani haukunji unaenda moja kwa moja kupita uwanjani,ukiacha rami pale kuna mabwawa mawili hayakauki sijui maji yametoka wapi? ukiingiza gari nusu nzima inazama yani ni hatari ukitaka usipate balaaa hilo la bwawa basi utakunja kushoto kwenda kairuki hospital then unakunja kulia pale kairuki changamoto ya njia hiyo ni balaaa yani mashimo makubwa kama gari ipo chini full kugonga exhaust pipe.

Please mamlaka husika ebu fanyeni mtuondolee hizi kelo sehemu ya kwenda dakika 20 tunatumia masaa ma2 ni kero kupoteza mda na mafuta.

Wako LBG,Kigali.
safi sana na bado, Dar ndio mkoa alioacommodate wajinga wengi kuliko mkoa wowote Tanzania hii.

mtakuwa na haki siku dar ccm ikikosa hata mbunge mmoja, kwanza hizo njia ulizotaja wote mna pesa huko changishaneni pesa mjitengenezee wenyewe barabara zenu.

kipaumbere cha serikali yetu ni vijijini sasa siyo kuwajengea nyinyi barabara za kwenda kunywa pombe rose garden.
 
Manispaa zetu zimejaa majzi, wamekaa kwenye viti wanwaza dili tu, na kwasababu PM mwenyewe ambae ni boss wao ndio vile tena kwa kweli itachukua miaka 500 kubadilika...
 
Goba road Kuanzia Mbezi mwisho,Mpigi magoe Road na Mbezi-Kinyerezi(Maramba mawili road).
 
Kuchangishana inawezekana tu kama tutapata mtu ambaye anataweza kucoordinate

safi sana na bado, Dar ndio mkoa alioacommodate wajinga wengi kuliko mkoa wowote Tanzania hii.

mtakuwa na haki siku dar ccm ikikosa hata mbunge mmoja, kwanza hizo njia ulizotaja wote mna pesa huko changishaneni pesa mjitengenezee wenyewe barabara zenu.

kipaumbere cha serikali yetu ni vijijini sasa siyo kuwajengea nyinyi barabara za kwenda kunywa pombe rose garden

Kodi yangu ya paye wasinikate kwa miezi miwili ili nichange kwenye mchango wa kurepair maandaki.
 
safi sana na bado, Dar ndio mkoa alioacommodate wajinga wengi kuliko mkoa wowote Tanzania hii.

mtakuwa na haki siku dar ccm ikikosa hata mbunge mmoja, kwanza hizo njia ulizotaja wote mna pesa huko changishaneni pesa mjitengenezee wenyewe barabara zenu.

kipaumbere cha serikali yetu ni vijijini sasa siyo kuwajengea nyinyi barabara za kwenda kunywa pombe rose garden.
hee kwa hiyo unapenda tunavyorudi makwetu saa 4 au ??
 
kimweri road:maeneo ya ccbrt mashimo makubwa sana na yanasababisha foleni
chole road:kona ya slipway hapafai ni mashimo na madimbwi
haile selasie road:maisha club hapafai,international school hapafai

magufuli na manispaa ya kinondoni mko wapi??

Halafu mnampongeza mwagufuli kwa lipi nyumba zoote zilizokaa sehemu nzuri wamepeana kana kwamba.wataishi milele, kwetu kijijini kuna barabara imejengwa miaka 40 iliyopita na mvua zinanyesha usiku na mchana sijawahi ona hata kipande cha kokoto kimechomoka anaebisha aniambie barabara ya nation park kuelekea lango la marangu ni lini mara ya mwisho kufanyiwa matengenezo na bado inadai
 
Asante kwa kutupa location yako, tunakuja

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Masaki mwisho kuna shimo kama handaki na Mkapa anapita hapa kila siku nadhani anafurahia.
Na barhessa opposite na double tree hotel kuna shimo kubwa sana .
 
Yote tisa, kumi ni barabara ya Bunyokwa kwenda Segerea, ni majanga, mashimo ya kufa mtu. Nasikia njia hiyo ndiyo anaitumia Waheshimiwa IGP wastaafu Mahita na Mwema kwenda kwenye kaya zao
 
Back
Top Bottom