Barabara ya Rusahunga Rusumo katika picha

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
34,776
Reaction score
46,050
Katika picha ni hali halisi ya barabara ya Rusahunga Rusumo 92km miaka 60 baada ya uhuru.

Kwa hakika nia njema ya kuwa na miundo mbinu kama ya Ulaya - tungali na safari ndefu.

Katika picha ni hali kama ilivyo leo.

Labda pamoja na makelele mengi angalau maji yamemwagwa barabarani:



Nyuma kwenye kiyoyozi ni TANROADS na mbele kwenye pickup ni vibarua mahili kuelekea kazini:



Hali ya barabara nzima inaendelea kuwa hivi:









Picha zaidi kufuata.
 
Bora wamekwangua lile tabaka la lami vishimo.
 
Hii ni katika kufuatilia ujumbe uliomo kwenye comment hii pamoja na utopolo uliomo:



Yaonekana baada ya hiyo iliyokuwa jana (siku 3 zilizopo ya) sasa TANROADS wameamka, barabara inamwagiwa maji na wanajitahidi kufika na kushuhudia ajali site zinazoletwa na uzembe wao.

Katika picha kwenye wekundu ni TANROADS wamefika huku pia:



Yetu macho 12Bn/- hadi zienee.

Vinginevyo baada ya Oct 28 itabidi tuelezane hata kama zilitumika kutengenezea mabango hewa ya CDM.
 
Lusaunga,nyakaula,kanazi,rusumo,sio tanzania ile
 
ndiyo maana tunaikataa CCM kwa nguvu zote!
 
Siku wananchi wakiitoa CCM, ukaingia utawala wa upinzani wananchi wakapata uhuru na amani ambayo hawajawahi kuipata.

Uhuru wa habari, wakujieleza, kufanya kazi kwa amani bila uonevu wa vyombo vya kodi na usalama, uhuru wa kusafiri bila kuonewa na trafic police, kuishi bila kuonewa na vyombo vya dola, kubambikizwa kesi na kodi.

Ndio wananchi watakavyo amka zaidi na kuichukia CCM na kuona imewachelewesha mambo mengi sana. Haitakuja kushika madaraka milele tena.
 
Jamaa anadhani anaikomoa Kagera kumbe anajikosesha mapato mwenyewe kutoka kwa IT
 
Mabango hewa ya........?????????
 
😡😡
 
Jamaa anadhani anaikomoa Kagera kumbe anajikosesha mapato mwenyewe kutoka kwa IT

Anunuaye ndege cash wakati ana barabara kuu iliyo kama hii kwamba yuko vizuri? Ila mwenyewe alishasema ni kichaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…