Hii ni katika kufuatilia ujumbe uliomo kwenye comment hii pamoja na utopolo uliomo:
View attachment 1604670
Yaonekana baada ya hiyo iliyokuwa jana (siku 3 zilizopo ya) sasa TANROADS wameamka, barabara inamwagiwa maji na wanajitahidi kufika na kushuhudia ajali site zinazoletwa na uzembe wao.
Katika picha kwenye wekundu ni TANROADS wamefika huku pia:
View attachment 1604669
Yetu macho 12Bn/- hadi zienee.
Vinginevyo baada ya Oct 28 itabidi tuelezane hata kama zilitumika kutengenezea mabango hewa ya CDM.