kukumwenyehipsi
Member
- Dec 8, 2018
- 12
- 5
Hii barabara ni Km 5 tu kutoka Dodoma Mjini na inaenda katika hospitali kubwa kama DCMC na MVUMI. Imejaa vumbi na mashimo hata barabara za vijijini zina afadhali.
Viongozi wa mtaa, kata mmeshindwa hata kufukia mashimo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi wa mtaa, kata mmeshindwa hata kufukia mashimo?
Sent using Jamii Forums mobile app