Barabara ya kutokea Rusumo haipitiki kwa siku mbili sasa

Barabara ya kutokea Rusumo haipitiki kwa siku mbili sasa

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
34,776
Reaction score
46,050
Niandikapo uzi huu ni kuwa hatimaye miraculously nimebahatika kutoka Nyabugombe katika barabara Rusumo kuelekea Rusahunga njia kuu iendayo Dar baada ya kuwepo hapo kwa siku karibia 2.

Kwa hakika hii haina tofauti na escape from Sobibo. Wengine wengi watoto na kina mama bado wapo pale.

Si chini ya magari 1000 kwa hesabu za haraka haraka yamekwama pale kutokana tu na ubovu tu wa barabara uliopo pale unaosababishwa na uzembe wa wenye mamlaka.

Ni usumbufu kiasi gani? Ni upotevu kiasi gani wa biashara? Ni uharibifu kiasi gani wa magari? Hakuna anaye jali?

Eneo lenyewe hili hakuna mitandao yoyote ya simu na hivyo hali kwa ujumla ni tete.

Hakuna askari polisi wala hakuna msaada wowote.

Hivi kweli barabara hii haina ukipa umbele wowote? Kweli hawa TANROADS wanaridhika kabisa na hali hii?
IMG_20200129_104219.jpg
IMG_20200129_104219.jpg
IMG_20200129_104214.jpg
IMG_20200129_104204.jpg
IMG_20170101_085531.jpg
 
wee umevukaje na wao wanashindwaje kupita?

hilo eneo hamkufanya uchaguzi 2015 wakuchagua mbunge na madiwani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwenye shibe nadra kufahamu kama kuna wenye njaa. Tambua hivi, haya si maeneo waishio watu. Hili ni eneo la wazi katika njia kuu. Wapitao hapa tuna madiwani wetu tokea mbagala hadi kibugumo.

Madiwani wetu kibugumo hawawezi kuwa na msaada hapa. Ni kwa mantiki hiyo ndiyo maana uzi huu haulekezwi kwa diwani.

Mkuu kwa irrelevance ya hoja yako ya diwani ilivyokaa kukuelewesha kwa nini nasema miraculously nimepita si itakuwa shughuli? Videos nilizochukua zimekuwa kubwa mno kuwa attached moja kwa moja.

Kama kwingine panajengwa daraja la salenda kupendezesha jiji hakika kweli kuelewa itakuwa shida.
IMG_20200129_104413.jpg
IMG_20170101_085522.jpg
 
Hiloneneo jamani serikali itengeneze

Ni ajabu na kweli kuwa hii ni barabara kuu kwenda nchi jirani ambayo umuhimu wake kwa bandari ya dar uko wazi.

Wilaya za Ngara na Biharamulo zilipaswa kuchukua uwajibikaji wa barabara hii. Tanroads wameifumbia macho kabisa.
IMG_20170101_045335.jpg
 
Mmmmh jamani😏...exaggeration...sikatai kuna tatizo...nachokataa ni huo uwingi wa gari tunaotaka kuaminishwa..eti gari si chini ya 1,000...


Everyday is Saturday..............😎
 
Mmmmh jamani😏...exaggeration...sikatai kuna tatizo...nachokataa ni huo uwingi wa gari tunaotaka kuaminishwa..eti gari si chini ya 1,000...


Everyday is Saturday..............😎

Mkuu uaminishwe ili uwe nini?

Hii ni stretch ya over 10km. Magari yako bumper to bumper. Lanes zimelazimishwa kuwa at least 2 same direction.

Magari 1000 yanaweza kuwa estimates on the lower side.

Mind you pana siku zaidi ya mbili. Tafiti magari mangapi hupita boda
IMG_20200129_104402.jpg
za rusumo na kabanga both ways. Achilia mbali yasiyofika huko boda.
 
Mmmmh jamani...exaggeration...sikatai kuna tatizo...nachokataa ni huo uwingi wa gari tunaotaka kuaminishwa..eti gari si chini ya 1,000...


Everyday is Saturday..............😎
Huo ni mpka kwahiyo hata hayo magari elfu ni machache,malori pekee yanayovuka hpo kwa siku yanaweza zidi 200,unapafahamu hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio nyabugombe hata pia barabara ya karagwe kuja benaco ni hatari tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Nikiwa hapa nyabugombe nilisikia hii ya karagwe pia kuwa hali huko nako ni tete.

Hata radio kwizera ajabu ni kuwa hawaoni umuhimu wa kuangazia adha hizi.

Vipaumbele vyetu viko wapi?
 
Mmmmh jamani...exaggeration...sikatai kuna tatizo...nachokataa ni huo uwingi wa gari tunaotaka kuaminishwa..eti gari si chini ya 1,000...


Everyday is Saturday..............😎
Kwa akili yako unaweza bisha hio ni barabara kuu inaenda nchi za burundi rwanda na congo vile vile inaunganisha wilaya za ngara na biaramulo piga hesabu siku mbili haipitiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom