Barabara ya kutoka Busweli hadi Nyamhongolo

Barabara ya kutoka Busweli hadi Nyamhongolo

Dig the EA

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
287
Reaction score
279
Salamu waungwana. Napenda kuuliza, anayejua hali ya barabara ya kutoka Buswelu hadi Nyamhongolo kupitia Nyamadoke ilivyo aniambie. Mara ya mwisho nilisikia kuwa barabara hiyo kutoka Buswelu mbogamboga- Nyamadoke- Nyamhongolo inajengwa kwa kiwango cha Lami; je ni kweli imejengwa hivo ?

Kama inajengwa iko na hatua gani? Kama haijajengwa sababu ni nini?
Na mipango au matarajio ya barabara hiyo ni nini?

Anayejua, tafadhali tupeane uelewa huo, twambie. Asante sana.
 
Salamu waungwana. Napenda kuuliza, anayejua hali ya barabara ya kutoka Buswelu hadi Nyamhongolo kupitia Nyamadoke ilivyo aniambie. Mara ya mwisho nilisikia kuwa barabara hiyo kutoka Buswelu mbogamboga- Nyamadoke- Nyamhongolo inajengwa kwa kiwango cha Lami; je ni kweli imejengwa hivo ?

Kama inajengwa iko na hatua gani? Kama haijajengwa sababu ni nini?
Na mipango au matarajio ya barabara hiyo ni nini?

Anayejua, tafadhali tupeane uelewa huo, twambie. Asante sana.
Jinsi ulivo andika unafikiri kila mtu anajua mwanza kiasi hincho mpaka ajue nyamahonghoro na buswelu......
 
Unatoka nyamhongolo, unafika machinjioni, unachapa kulia, moja kwa moja hadi buswelu, then unakata kushoto unatokea kiseke unafika sabasaba unachagua uende airport au urudi mjini kati.
Last time nmepita ni kama a month ago ni lami iliyonyooka tena fyade kabisa. Sikwenda zaidi ya hyo route
 
Salamu waungwana. Napenda kuuliza, anayejua hali ya barabara ya kutoka Buswelu hadi Nyamhongolo kupitia Nyamadoke ilivyo aniambie. Mara ya mwisho nilisikia kuwa barabara hiyo kutoka Buswelu mbogamboga- Nyamadoke- Nyamhongolo inajengwa kwa kiwango cha Lami; je ni kweli imejengwa hivo ?

Kama inajengwa iko na hatua gani? Kama haijajengwa sababu ni nini?
Na mipango au matarajio ya barabara hiyo ni nini?

Anayejua, tafadhali tupeane uelewa huo, twambie. Asante sana.
Nyamhongolo si kuna rami au Mim ndo sijui Nyamhongolo vzuri
 
Umemuele kwel mtoq mada?kuna Barabara kutoka buswelu direct to Nyamhongolo..sema ndo hivo haijajengwa...kama kpnd Cha mvua iv hapa majuzi ilikuwa haipitiki kabisa
Kumbe haijajengwa ? Ina hatua gani? Au ikoje ?
 
Unatoka nyamhongolo, unafika machinjioni, unachapa kulia, moja kwa moja hadi buswelu, then unakata kushoto unatokea kiseke unafika sabasaba unachagua uende airport au urudi mjini kati.
Last time nmepita ni kama a month ago ni lami iliyonyooka tena fyade kabisa. Sikwenda zaidi ya hyo route
Ni lami yote. Mi naishi Kiseke
 
Salamu waungwana. Napenda kuuliza, anayejua hali ya barabara ya kutoka Buswelu hadi Nyamhongolo kupitia Nyamadoke ilivyo aniambie. Mara ya mwisho nilisikia kuwa barabara hiyo kutoka Buswelu mbogamboga- Nyamadoke- Nyamhongolo inajengwa kwa kiwango cha Lami; je ni kweli imejengwa hivo ?

Kama inajengwa iko na hatua gani? Kama haijajengwa sababu ni nini?
Na mipango au matarajio ya barabara hiyo ni nini?

Anayejua, tafadhali tupeane uelewa huo, twambie. Asante sana.
Umenikumbusha mbali Sana nyamadoke primary school hapo jirani Kuna rafik yangu nilikua naenda napitia shortcut za igoma B, Bujingwa nimepotezana nae muda Sasa siku nikienda mwanza lazima ntaenda hapo kwao nyamadoke..
 
Unatoka nyamhongolo, unafika machinjioni, unachapa kulia, moja kwa moja hadi buswelu, then unakata kushoto unatokea kiseke unafika sabasaba unachagua uende airport au urudi mjini kati.
Last time nmepita ni kama a month ago ni lami iliyonyooka tena fyade kabisa. Sikwenda zaidi ya hyo route
Mbona naambiwa kuna barabara, imejengwa kutoka Buswelu, inapita Isela, Nyamadoke, Iwelashinga mpaka Nyamhongolo.
 
Unatoka nyamhongolo, unafika machinjioni, unachapa kulia, moja kwa moja hadi buswelu, then unakata kushoto unatokea kiseke unafika sabasaba unachagua uende airport au urudi mjini kati.
Last time nmepita ni kama a month ago ni lami iliyonyooka tena fyade kabisa. Sikwenda zaidi ya hyo route
Machinjioni ndio kijereshi?!
 
Back
Top Bottom