Sisi wakazi kigambo, kibada, toangoma mikwambe Na maeneo mbalimbali tumechoshwa Na hali mbaya ya Barbara hii muhimu ya kilomita 3.9.
Barbara hii ni muhimu kwani ni kiunganishi kati ya hospital ya kisiwani na wakazi wa kibada Na maeneo mengine tajwa kuelekea daraja la Nyerere. Pia kiuchumi malori mengi yanachukua mafuta toka depots hutumia Barabara hii kuzungukia kongowe. Barabara imekuwa na mashimo mengi, vumbi na kusabisha uharibifu wa magari na kuhatarisha usalama.
Kutokana na umuhimu wake na kwakuzingatia kauli mbiu ya serikali yetu ya HAPA KAZI TU tunaziomba mamlaka husika kutekeleza kaulimbiu hii kwa vitendo katika kutatua kero zinazotukabili sisi wananchi walipa kodi Na wapiga kura. Kwakweli hali ni mbaya sana hasa unapohitaji kumuwahisha mgonjwa au mjamzito hospitality ya kisiwani.
Barbara hii ni muhimu kwani ni kiunganishi kati ya hospital ya kisiwani na wakazi wa kibada Na maeneo mengine tajwa kuelekea daraja la Nyerere. Pia kiuchumi malori mengi yanachukua mafuta toka depots hutumia Barabara hii kuzungukia kongowe. Barabara imekuwa na mashimo mengi, vumbi na kusabisha uharibifu wa magari na kuhatarisha usalama.
Kutokana na umuhimu wake na kwakuzingatia kauli mbiu ya serikali yetu ya HAPA KAZI TU tunaziomba mamlaka husika kutekeleza kaulimbiu hii kwa vitendo katika kutatua kero zinazotukabili sisi wananchi walipa kodi Na wapiga kura. Kwakweli hali ni mbaya sana hasa unapohitaji kumuwahisha mgonjwa au mjamzito hospitality ya kisiwani.