gambosh
Member
- Mar 1, 2014
- 34
- 5
Magari ya abiria na mizigo yamekwama ktk eneo la signal kutokana na mvua iliyonyesha jana usiku baada ya mkandarasi kushindwa kusambaza vifusi vilovyomwagwa pembezoni mwa barabara hiyo takriban mwezi sasa hivi.Uongozi wa mkoa ujaribu kumfuatilia huyo mkandarasi maana watumiaji wa barabara hiyo wanateseka sana.Hivi sasa kuna gari zimenasa toka asubuhi malori pamoja na mabasi.kazi kwenu viongozi.