Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,103
- 9,588
Nilipita jana barabara hii, kipande cha kutoka Endasaki mpaka ufike Dareda Barabara Kuu ya Singida Babati, kwa kifupi ina mashimo mengi na makubwa sana jambo ammbalo ni hatari kwa watumiaji wa barabara hiyo hasa kwa madereva wageni na nyakati za usiku.
Mamlaka tatueni tatizo hilo, ni keri sasa ya muda mrefu
Mamlaka tatueni tatizo hilo, ni keri sasa ya muda mrefu