pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Inasemekana nyumba ya jirani ilikuwa inaungua, na huyu jamaa nyumbani kwao kuna kisima cha maji so akajitolea pamoja na wasamaria wengine kuchota maji na kuzima moto huo, huku wakipiga simu taasisi ya zima moto kwa ajili ya msaada zaidi.
Bahati mbaya fire brigade wakachelewa kufika hadi moto umezimwa, kwa hiyo walipofika wananchi wakaanza kuwapopoa kwa mawe, na wao wakaanza kupiga wanachi labda kwa kujihami.
Ila kilichowakera wengi ni kwenda kumpiga mtu ambaye hakuwepo kwenye kundi linalorusha mawe na ni mtu ambaye ametoa mchango mkubwa sana wa mali na nguvu zake katika kuuzima moto huo.
Inasemekana ameumia sanaa ndani kwa ndani na baadhi ya wakubwa na viongozi waliopo hapo wamempa 30,000/= tsh ili akajitibie huku wakimuomba msamaha.
Sasa swali je, hii ni haki?
Na inasemekana kuna waliosema watamrudia wamkomeshe yaani maisha yake yapo hatarini
Sijui tumsidieje huyu mtu mwema
Msaada tafadhali wa maoni tu
Bahati mbaya fire brigade wakachelewa kufika hadi moto umezimwa, kwa hiyo walipofika wananchi wakaanza kuwapopoa kwa mawe, na wao wakaanza kupiga wanachi labda kwa kujihami.
Ila kilichowakera wengi ni kwenda kumpiga mtu ambaye hakuwepo kwenye kundi linalorusha mawe na ni mtu ambaye ametoa mchango mkubwa sana wa mali na nguvu zake katika kuuzima moto huo.
Inasemekana ameumia sanaa ndani kwa ndani na baadhi ya wakubwa na viongozi waliopo hapo wamempa 30,000/= tsh ili akajitibie huku wakimuomba msamaha.
Sasa swali je, hii ni haki?
Na inasemekana kuna waliosema watamrudia wamkomeshe yaani maisha yake yapo hatarini
Sijui tumsidieje huyu mtu mwema
Msaada tafadhali wa maoni tu