Barabara mpya ya Bagamoyo Foleni zimerudi

Barabara mpya ya Bagamoyo Foleni zimerudi

Ambiente Guru

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2012
Posts
2,623
Reaction score
1,096
Foleni zimerudi barabara mpya ya Mwenge-Tegeta.

Ni kadhia/ shida kuliko mwanzo kwani zinanzia Interchick au Jogoo asubuhi mapema.


Pengine Tanroads wangeharakisha ujenzi wa barabara mbadala za Goba na Madale. Pia ya Mwenge - Morocco

Vinginevyo manufaa ya barabara hii mpya hayataoneka.
 
Inasababishwa na nini hiyo foleni?mbona ilikua kutereza tu

Yawezekana ni kasi ya watu kuvutiwa na makazi Tegeta - Bagamoyo.

Wabongo wengi wamenunua magari na pia bei ya petroli imeshuka sana kwa kasi.
 
Wenzenu kigamboni waliambiwa wapige mbizi, sasa nyie msipoangalia mtaambiwa "mpae"
 
kuna hii barabara ya tegeta madale kutokea mbezi/kimara.Ni njia ya kilometa 13 ivi na ingeweza kupunguza sana folen ya malori kutoka wazo kiwandani kwenda mikoni.Na ingeweza kuwa njia mbadala kwa waendao/watokao kimala/mbezi.AJABU KIPAUMBELE KIMEKUWA KWA BARABARA YA GOBA
 
kuna hii barabara ya tegeta madale kutokea mbezi/kimara.Ni njia ya kilometa 13 ivi na ingeweza kupunguza sana folen ya malori kutoka wazo kiwandani kwenda mikoni.Na ingeweza kuwa njia mbadala kwa waendao/watokao kimala/mbezi.AJABU KIPAUMBELE KIMEKUWA KWA BARABARA YA GOBA

Yasemekana malori bado kuruhusiwa kupita Bagamoyo Msats
 
Foleni zimerudi barabara mpya ya Mwenge-Tegeta.

Ni kadhia/ shida kuliko mwanzo kwani zinanzia Interchick au Jogoo asubuhi mapema.


Pengine Tanroads wangeharakisha ujenzi wa barabara mbadala za Goba na Madale. Pia ya Mwenge - Morocco

Vinginevyo manufaa ya barabara hii mpya hayataoneka.
Mkuu TANROADS wanayo kazi kubwa kwanza kuboresha barabara ya Old Bagamoyo rd. ipitayo kwa Mwalimu.
Pili ni kuboresha maungio ya New Bagamoyo rd kati ya Mwenge na Kawawa rd.

Kwa kasi ya watu kuhamia Bunju, Mapinga, Ununio ni busara TANROADS wakaanza mikakati ya kutengeneza Barabara ya Mapinga -Kibaha pamoja n barabsrs zile za Wazo-Goba,ni lazima TANROADS waende na wakati.
 
its obvious waliokuwa wanapita goba wengi wameiabandon njia hiyo sababu ya mvua zinazoendelea, kupitisha saloon car goba kwa sasa ni uharibifu wa kujitakia.
 
tabata ndo hatari. unatoka nyumbani saa 1 unafika mjini saa 4 mwili umechoka sijui kazi utafanya saa ngapi
 
Back
Top Bottom