Banning pregnant girls from school is against the laws of Tanzania

This is a primitive argument !!

I thought, kabla hujatoa hitimisho la namna hii, ungeenda mbele na kurudi nyuma na ujiulize ni kwa nini mabinti (hata wako aweza jikuta ameingia shida hii) hupata mimba wakiwa shule ama ktk umri mdogo wa kupaswa kuwa shuleni ?

Na usiishie hapo, jiulize zaidi na zaidi, kwamba, nini jukumu la wazazi, jamii na serikali kwa ujumla ktk kuzuia hili ? Wanatekeleza wajibu wao au ndiyo kina ninyi hawa wenye majibu rahisi ktk mambo ambayo unapaswa kukuna bongo ?

Yaani, ndugu Jidu La Mambambasi akili na ufahamu wako hauna tofauti na mwenye chanzo cha kauli hii ambayo ndiyo msingi wa mjadala huu.... ndugu yako Rais J. P. Magufuli !!

Mimi nadhani tukubali tu, kuwa, Mr. President alichemka kwani wakati mwingine ukimya ni busara zaidi kuliko kupayuka hovyo bila kuwa na uhakika unachopayukia...

Sasa ona anavyokuwa exposéd....pure ignorance !!

Na sina hakika kama anatambua hata sheria za ndani ya nchi yake mwenyewe na zile za kimataifa ambazo sisi kama taifa tumeziridhia, zinasemaje kuhusu jambo hili !! ....Na ninyi ignorantly, mnaunga tela kwa nyuma eti kwa sbb Rais kasema !!

Ni yaleyale kama ya Makinikia na ishu ile ya wanafunzi wa UDOM ambao sijui ilikuwa kwa kutojua ama kwa makusudi aliishia kutukana watu wake kwa kuwaita "vilaza" kitu ambacho hata angekutumia lugha ya kawaida tu, angeeleweka na kile akitakacho kikafanyika...!!!
Primitive or not, facts will remain to be facts.
Tatizo wengi wenu think up to only half of the problem, get qick fix solutions, and shove them to the taxpayer, and expect all will be fine!

Mimba za watoto zipo, na hilo ni social problem ambapo sheria zipo kulikabili.
Hata hivyo ni tatizo lisilikubalika kijamii.
Na jamii hasa wazazi wamelegalega katika hili.
Ndiyo, kuna rape, na kuna njia kisheria ku redress hilo.

Jamii yetu ikilegea tu, na kukubaliana enmass mimba za utotoni, shule za mabinti zitageuka maternity wards.
Kijana gani aliyebalehe asiyependa kujijaribu sexually?
Its part of growing up, lakini red lines must be drawn.

Kwa tone ya argument yako you are anti Mgufuli, thats your problem.
Lakini kama una mabinti, nawe wafukuzia noti 24/7 usitegemee kodi zetu zikulindie, zisomeshe wako hata wakipata mimba, kwani uliwazaa wa nini kama huwezi kutunza watoto?
And when you think that through ,THAT IS PRIMITIVE.
 
Banning pregnant girls from school is against the laws of Tanzania
Tuesday July 4 2017



magufoolie.jpg

President Magufuli’s remarks indicating his intention to stop girls from going to school is in contradiction of the laws and policies of his own country and his government’s failure to fulfil its obligation to protect and safeguard the rights of its citizens, especially the rights of its vulnerable citizens. ILLUSTRATION | JOHN NYANGA

THE EAST AFRICAN

In Summary
  • In addition to the Beijing Declaration and Platform for Action, the right to education as a basic right is enshrined in several international and regional conventions and protocols

By DINAH MUSINDARWEZO

More by this Author
Only a few days after the celebration of the Day of the African Child, the President of the Republic of Tanzania, John Magufuli, victimised teen mothers by swearing that during his presidency they would not be allowed to go back to school.

The president’s remarks were disheartening and a setback for the hard-fought gains on women and girls rights, gender equality and empowerment of women and girls achieved by women’s movements including the work done by African Women’s Development and Communication Network (Femnet) members in Tanzania.

Education as a basic right

The women’s movement across Africa and globally has fought hard to guarantee girls the right to quality education.

At the Beijing International Conference on Women 31 years ago, African women championed the rights of the girl child and as a result, one of the 12 Beijing Areas of Action focused on the girl child.

In addition to the Beijing Declaration and Platform for Action, the right to education as a basic right is enshrined in several international and regional conventions and protocols including the Convention on Ending Discrimination against Women (Cedaw).

The Convention on the Rights of the Child, the African Protocol on the Rights of the Child, the African Charter on the Rights of Women in Africa (Maputo Protocol) and Goal 4 of the UN’s Sustainable Development Goals, that all focus on inclusive and equitable education for all.

All these conventions and protocols focus on the right of boys and girls to access quality and equitable education and put obligations on the States that have ratified them to protect, fulfil and uphold this human right.

A particular focus is put on girls’ education due to their vulnerabilities as a result of structural and systematic gender inequalities.

Unwanted and early pregnancies are a manifestation of such inequalities and an indication of girls’ vulnerabilities where often the blame is put on pregnant girls instead of those who made them pregnant or those who failed to put mechanisms in place to prevent unwanted pregnancies.

The Republic of Tanzania is a party to the above conventions and protocols and to some extent the government has taken steps towards implementing them.

Education Act

For example, the country has an Education Act and a Child Act, both of which aim to protect and safeguard the rights of each child including protecting them from discrimination and providing the right to services.

President Magufuli’s remarks indicating his intention to stop girls from going to school is in contradiction of the laws and policies of his own country and his government’s failure to fulfil its obligation to protect and safeguard the rights of its citizens, especially the rights of its vulnerable citizens.

His contractions are further exposed by the government of Tanzania’s guidelines on how to enable pregnant schoolgirls to return to school and resume their classes, which were adopted by his government in 2016.

These guidelines affirm the government’s commitment to reduce the high number of school dropouts caused by various factors including pregnancies among schoolgirls.

Some 4.4 per cent of girls enrolled in both primary and secondary schools dropped out due to pregnancy, according to Basic Education Statistics in Tanzania in 2014.

While Magufuli takes away the right of teen mothers to choose the type of education they want when he says in his address that teen mothers should go in for vocational training, sewing or farming, the above mentioned guidelines clearly state that the state’s goal is to provide an enabling environment for all pregnant girls to resume schooling after delivery to complete their education cycle.

Magufuli’s remarks could push girls into child labour and reinforce gender stereotypes leading to gender-segregated jobs. This goes against the African Union’s efforts to increase the number of girls in science, technology, engineering and mathematics.

When he took up the presidency, Magufuli was adamant about fighting corruption to ensure equitable development. That was before his homophobic and sexist remarks started.

What he should know is that it’s impossible to achieve development without achieving gender equality as various researches have shown.

When girls are denied the opportunity to education, it limits their access to other opportunities including decent employment, leadership and access to information and to make informed choices. Girls who drop out of schools are also likely to end up in child marriages.

Africa’s women and girls are extremely irked by President Magufuli’s utterances. He was “the president to watch” for mostly the right reasons until now. Still, President Magufuli can do the following to redeem himself from this recent retrogressive outburst:

• Retract his remarks and immediately apologise to Tanzanian women and girls

• Provide child care facilities for all teen mothers to allow them to go back to school without worrying about who will take care of their babies;

• Address stigma and discrimination towards teen mothers in schools, homes, community;

• Educate himself on the rights of girls and women and his obligation as the head of state to fulfil them;

• Ensure provision of comprehensive sexuality education as a preventive measure;

• Provide youth-friendly reproductive and sexual health services;

• Hold those who make girls pregnant accountable;

• Implement national, regional and international policies, laws and conventions/protocols on girls’ education, gender equality and women’s rights; and
• Allocate adequate national budget towards addressing gender inequalities.

We at Femnet in collaboration with our members in Tanzania and across the continent are committed to supporting President Magufuli and his government to achieve the above.

Dinah Musindarwezo is the executive director of the African Women’s Development and Communications Network, Femnet.
What a stupid writer!! Go to hell if you insist pregnant pupils to return to school. Establish your own schools if you are interested to take them!!
 
What a stupid writer!! Go to hell if you insist pregnant pupils to return to school. Establish your own schools if you are interested to take them!!
Acha upumbavu na uzezeta, imagine ni mwanao ndo kabakwa na kupewa mimba at age 12-13...


spend less, save more
 
Primitive or not, facts will remain to be facts.
Tatizo wengi wenu think up to only half of the problem, get qick fix solutions, and shove them to the taxpayer, and expect all will be fine!

Mimba za watoto zipo, na hilo ni social problem ambapo sheria zipo kulikabili.
Hata hivyo ni tatizo lisilikubalika kijamii.
Na jamii hasa wazazi wamelegalega katika hili.
Ndiyo, kuna rape, na kuna njia kisheria ku redress hilo.

Jamii yetu ikilegea tu, na kukubaliana enmass mimba za utotoni, shule za mabinti zitageuka maternity wards.
Kijana gani aliyebalehe asiyependa kujijaribu sexually?
Its part of growing up, lakini red lines must be drawn.

Kwa tone ya argument yako you are anti Mgufuli, thats your problem.
Lakini kama una mabinti, nawe wafukuzia noti 24/7 usitegemee kodi zetu zikulindie, zisomeshe wako hata wakipata mimba, kwani uliwazaa wa nini kama huwezi kutunza watoto?
And when you think that through ,THAT IS PRIMITIVE.

Wewe una watoto/mtoto wa kike ?

Au ndiyo bado uko kwenye u - teenager na kwa hiyo sexual desire yako iko juu kweli kweli and you are always on trial ?

Nakubaliana na wewe kwa mambo mawili :

Mosi, I am ant - Magufuli. Yes, I am and I didn't vote for him and I will never !!

However, he's the president of this country and the law of nature tells me to accept him as a leader who was democratically elected despite of many irregularities....but this doesn't mean that I should swallow whatever rubbish from his leadership as you do !!

Pili, unasema zipo sheria nyingi zinazowalinda watoto wa kike.

That's good because you know that. However, what is your argument so far ktk hili ?

Kwani Rais wako, homeboy wako before hajatoa kauli kali na ya ajabu ignorantly hakuwa anatambua kuwa kuna sheria hizo ?

Narudia kukuambia, kubali kuwa Mr President, alichemka ...... period!!

Ukimya (ambayo ndiyo busara ya kiongozi makini) sometimes ingekuwa ni jibu tosha kwake kuwa, hataki watoto wa kike wanaopata ujauzito kupata elimu !!!
 
Masikini tumehama kwenye ufinyu wa kipato sasa ni ufinyu wa akili, yaani tunauwana sisi kwa sisi

Tatizo elimu tunachukulia kupatikana kwake ni kama hela kumbe yabidi kuwa kama chakula tuu,

mana ujenzi wa nchi hauangalii nani alitiwa mimba akarudi shule au akabaki nyumbani,

hapa kutakuwa na prolongation ya kamba ya masikini kubakia watumwa maisha yao yote,

na wenye nazo kuwa watawala tuu, wapendwa elimu haiangalii tumbo limejaaje bali, ubongo umejaa nini

mana uzuri au ubaya wa elimu haunaga mwisho, haya wadogo zetu, ni wanaowalisha ndio wanaowafukuza mezani sasa hivi
 
Ipo siku huyu dikteta uchwara bwana Jinga Pumba Mazizi atatamka kuwa amewaonea huruma watoto watakaopata mimba waendelee na shule, na zile maiti za Lumumba utaziona zinakuja kusema huyu ndo rais wa wanyonge. Bora nchi ingeongozwa na Joti kabisa tukajua moja kuliko hizi PhD za Korosho uchwara
 
Mwachie dadaako apigwe mimba ili mkadai haki mahakamani kama mtaiona. Kumbe misukule mpo wengi. Ila usikatae kulea mtoto wake pia.

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
Ipo siku huyu dikteta uchwara bwana Jinga Pumba Mazizi atatamka kuwa amewaonea huruma watoto watakaopata mimba waendelee na shule, na zile maiti za Lumumba utaziona zinakuja kusema huyu ndo rais wa wanyonge. Bora nchi ingeongozwa na Joti kabisa tukajua moja kuliko hizi PhD za Korosho uchwara
:eek::eek::eek: hii comment ni baab kubwa.....

Inawezekana wameshaku - inbox kukuambia ".....hey, It's inappropriate language !!! "
 
Tunaopanda daladala na hawa watoto ndio tunawajua, kwanza hawana adabu na mazungmzo yao ni wanaume tu, nilimsikia bint anamwambia mwenzie wiki nzima hajaingia darasani yupo kwa bwana na hivi akitoka darasani anaunganisha huyu naye akipata Mimba aendelee na masomo? Hovyo sana tusitetee ujinga, aendelee na maisha aliyoyachagua, mitoto yenyewe ipo juu ya vichwa vya wazazi wao ndio maana mnawatetea, Mkulu endelea na msimamo huo huo, mkitaka mkawasomeshe private

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom