BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
- Thread starter
- #41
Ulichokiandika hapa hakina ukweli wowote. Kule Zanzibar wanafunzi wajawazito wanaruhusiwa kurudi shule na hiyo dhana yako potofu kwamba utakuta shule nzima ina wazazi haina ukweli wowote ule. Wanafunzi wanaopata ujauzito ni 8% tu ya wanafunzi wote na hata katika nchi nyingine duniani ambazo zinaruhusu wanafunzi wajawazito kurudi shule hiyo dhana yako potofu kwamba shule nzima itakuwa ni ya wajawazito bado haijatokea katika nchi yoyote ile.
Nasisitiza, "Kuzuia kuendeleana shule za Serikali" kwani nchi hii waliwahi kuruhusiwa kuendelea na shule lini hata useme rais amezuia? Kauli ya Rais maana yake "kuneni vichwa" jinsi ya kuwasaidia hao wasio na uwezo sio kufikiria warudi shule za serikali madhara yake baada ya robo karne ni makubwa kuliko faida. iko siku mtajikuta shule zima ni ya wazazi mtaanza kuulizana nani aliruhusu hiyo.