Banning pregnant girls from school is against the laws of Tanzania

Soma hii article ili uelewe kilichoandikwa kuhusu sheria za Tanzania na za kimataifa ambazo Tanzania imezisaini.

Sheria ipi ya mwaka gani?......nacho jua kuna sheria inakataza wajawazito kurudi shuleni nipe muda nikupekulie kwenye makabrasha, ila kinachonishangaza ni kwamba rais ame kazia tu ila tangu awali hatujawahi kuwa na darasa lililochangamana na waja wazito.....naomba sheria iliyopindishwa na mimi nikuletee sheria inayopiga marufuku waja wazito kuendelea na masomo kwenye shule za SERIKALI.
 
Soma hii article ili uelewe kilichoandikwa kuhusu sheria za Tanzania na za kimataifa ambazo Tanzania imezisaini.
Umesema rais anapindisha sheria, swali la msingi ni sheria ipi ya JMT ya mwaka gani iliyopindishwa katika hili? articles hata mwanangu naandika

Sent from my SM-T230NU using JamiiForums mobile app
 
Wacheni uongo.

Magufuli kasema serikali yake haiwasomeshi hakupiga "ban" wasisome.

Nyinyi badala ya kulalamika si muwawekee mfuko wa kuwasomesha?
 
Wewe Mtanzania yupi hata sheria za nchi yako huzijui. Haya kamwambie mwanao aandike labda utamuelewa.

Umesema rais anapindisha sheria, swali la msingi ni sheria ipi ya JMT ya mwaka gani iliyopindishwa katika hili? articles hata mwanangu naandika

Sent from my SM-T230NU using JamiiForums mobile app
 
Wewe Mtanzania yupi hata sheria za nchi yako huzijui. Haya kamwambie mwanao aandike labda utamuelewa.
Wewe unayejua Nisaidie kwa kunukuu kifungu cha sheria kinachompa uhalali mjamzito/mzazi kuendelea na masomo...hivi unajua kazi ya IAE (taasisi ya elimu ya watu wazima)?

Sent from my SM-T230NU using JamiiForums mobile app
 
Sina muda wa kupoteza kwa watu wanaojibwetesha kufuatilia sheria za nchi yao. If you want to know the details of this issue then do your homework.

Wewe unayejua Nisaidie kwa kunukuu kifungu cha sheria kinachompa uhalali mjamzito/mzazi kuendelea na masomo...hivi unajua kazi ya IAE (taasisi ya elimu ya watu wazima)?

Sent from my SM-T230NU using JamiiForums mobile app
 
Sina muda wa kupoteza kwa watu wanaojibwetesha kufuatilia sheria za nchi yao. If you're want to know the details of this issue then do your homework.
Broken english

Sent from my SM-T230NU using JamiiForums mobile app
 
huyu Rais wetu angekua Ngumbaru kama Rebecca hapa ningemuelewa,ila kasoma kiwango cha PhD hafu ana act kama hajui umuhimu wa elimu.
 
Fomu ya kujiunga na Elimu ya sekondari.
Makosa yafuatayo yatapelekea mwanafunzi kusitisha masomo na kufukuzwa shule.
1: kudharau bendera na wimbo wa Taifa
2: kujihusisha kutumia kileo ikiwa pamoja na madawa ya kulevya
3:Kupata ujauzito
4: Kujihusisha na mapenzi
5: kupigana shuleni
 
Kilichoandikwa ni kweli tupu na hata Watanzania wengi wameyasema yote haya yaliyoandikwa humu. Kama dikteta uchwara anapindisha sheria za nchi na za kimataifa ambazo Tanzania imesaini lazima aambiwe ukweli. Kufukuza wanaomwambia ukweli dikteta uchwara si solution ya kuwanyamazisha hawa hata wakiwa nje bado wanaweza kumpa ukweli wake.

BAK ni ukweli upi ulioongelewa katika article ya gazeti ulilolinukuu? Ni lia ni Rais JPM amepiga marufuku wanafunzi wanaopata mimba wasipate Elimu? Kwa nini upotoshaji huu? Alichosema JPM ni watoto hawa "kutopata nafasi ya kuendelea na masomo katika shule za Serikali". Maana yake wanaweza kuendelea katika mifumo mingine isiyo rasmi na amewaasa Wapiga debe/NGO "Ruksa kufungua shule zao" kwa ajili ya kuwapokea hawa. Wasioweza wakasome hata vyuo vya kuwapasia ujuzi, "Ufundi wa kushona, ujenzi n.k." lakini sio kujumuika tena wa wanafunzi wanaosomeshwa "bure" na serikali nafasi hiyo wameipoteza.

Haya hayo ya Rais kupiga marufuku "kusoma tena wanafunzi waliopata mimba"a mnayapata wapi? Kwani hizo mimba zimeanza patikana jana tangu nchi hii Kujitawala na hakuna wanafunzi waliojiendeleza baada ya kupata mimba? Mnakomalia kupotosha kauli ya Rais ili mpate faida gani? Hizo ni fursa kwa wapiga deals, Mnaanzisha NGOs za kusaidia yatima kwa nini msianzishe na za kuwasaidia wanafunzi wa uzazi usiotarajiwa watanzania na hao international donners wakawachangia?
 
Ndiyo akili fupi hizi za kutaka kuonyesha wanaompinga huyu dikteta uchwara ni wapiga dili. Kwa taarifa yako mimi sina NGO wala sina mpango wa kuanzisha NGO.

Kwa hiyo kwa akili yako wewe hili la dikteta uchwara kuzuia wanafunzi wenye ujauzito kuendelea na elimu anasingiziwa tu hajawahi kutoa kauli kama hiyo!

BAK ni ukweli upi ulioongelewa katika article ya gazeti ulilolinukuu? Ni lia ni Rais JPM amepiga marufuku wanafunzi wanaopata mimba wasipate Elimu? Kwa nini upotoshaji huu? Alichosema JPM ni watoto hawa "kutopata nafasi ya kuendelea na masomo katika shule za Serikali". Maana yake wanaweza kuendelea katika mifumo mingine isiyo rasmi na amewaasa Wapiga debe/NGO "Ruksa kufungua shule zao" kwa ajili ya kuwapokea hawa. Wasioweza wakasome hata vyuo vya kuwapasia ujuzi, "Ufundi wa kushona, ujenzi n.k." lakini sio kujumuika tena wa wanafunzi wanaosomeshwa "bure" na serikali nafasi hiyo wameipoteza.

Haya hayo ya Rais kupiga marufuku "kusoma tena wanafunzi waliopata mimba"a mnayapata wapi? Kwani hizo mimba zimeanza patikana jana tangu nchi hii Kujitawala na hakuna wanafunzi waliojiendeleza baada ya kupata mimba? Mnakomalia kupotosha kauli ya Rais ili mpate faida gani? Hizo ni fursa kwa wapiga deals, Mnaanzisha NGOs za kusaidia yatima kwa nini msianzishe na za kuwasaidia wanafunzi wa uzazi usiotarajiwa watanzania na hao international donners wakawachangia?
 
BAK ni ukweli upi ulioongelewa katika article ya gazeti ulilolinukuu? Ni lia ni Rais JPM amepiga marufuku wanafunzi wanaopata mimba wasipate Elimu? Kwa nini upotoshaji huu? Alichosema JPM ni watoto hawa "kutopata nafasi ya kuendelea na masomo katika shule za Serikali". Maana yake wanaweza kuendelea katika mifumo mingine isiyo rasmi na amewaasa Wapiga debe/NGO "Ruksa kufungua shule zao" kwa ajili ya kuwapokea hawa. Wasioweza wakasome hata vyuo vya kuwapasia ujuzi, "Ufundi wa kushona, ujenzi n.k." lakini sio kujumuika tena wa wanafunzi wanaosomeshwa "bure" na serikali nafasi hiyo wameipoteza.

Haya hayo ya Rais kupiga marufuku "kusoma tena wanafunzi waliopata mimba"a mnayapata wapi? Kwani hizo mimba zimeanza patikana jana tangu nchi hii Kujitawala na hakuna wanafunzi waliojiendeleza baada ya kupata mimba? Mnakomalia kupotosha kauli ya Rais ili mpate faida gani? Hizo ni fursa kwa wapiga deals, Mnaanzisha NGOs za kusaidia yatima kwa nini msianzishe na za kuwasaidia wanafunzi wa uzazi usiotarajiwa watanzania na hao international donners wakawachangia?

kuzuia wasiendelee na shule si ndio kupiga maarufu kwenyewe?
unadhania wazazi wa hao watoto,wangekua na uwezo si wangewapeleka shule za private in the first place?!
unadhania kundi lipi litaathirika Zaidi,kama sio watoto wa maskini??sababu shule za serikali,ndio wamejaa huko?!
watoto wa maskini ukiliangalia hili swala kwa undani,their parents cant afford to buy everything for them,so they are 'potential prey' kwa mabazazi/predators.
by the way,nchi kama tunataka tusonge mbele watu wote wasome,lol
 
The aforementioned right is for children no mothers. The current education acts, policies and their regulations put it clear that involvement in love affairs during the school age is good enough to terminate schooling in public schools. However as the president put it right that such mothers are free to obtain education right via non public schools. Those who think can help entertain such behavior are free to sponsor mothers back to school
 
Ndiyo akili fupi hizi za kutaka kuonyesha wanaompinga huyu dikteta uchwara ni wapiga dili. Kwa taarifa yako mimi sina NGO wala sina mpango wa kuanzisha NGO.

Kwa hiyo kwa akili yako wewe hili la dikteta uchwara kuzuia wanafunzi wenye ujauzito kuendelea na elimu anasingiziwa tu hajawahi kutoa kauli kama hiyo!
Nilitarajia umesoma nilichoandika kumbe bado!!! Soma tena
 
kwani mkisema wasiendelee si kukomoana huku....

I just think as a society,this will cost us,direct or indirect...............

sababu kama mtakataa hawa wasichana wasisome,eventually hawatakua na kazi za kuprovide for their children,i can see prostitutes and robbers in the making,,,,,,,,,,and this will cost us....

by the way hawa wasichana wangekua above twenty then ingekua sawa kupiga ban,

below 18 years ni umri wa 'kuexperiment'/'mihemuko'

na sex ni natural thing,palipo wanawake na wanaume ati...............

labda on going campaign kuhusu afya ya uzazi,itiliwe mkazo,................

pia wanafunzi chini ya 18,wapunguziwe bei ya condom,............

yes wapunguziwe,................

kujifanya hawatofanya sex,ni kujidanganya tu................................
 
kuzuia wasiendelee na shule si ndio kupiga maarufu kwenyewe?
unadhania wazazi wa hao watoto,wangekua na uwezo si wangewapeleka shule za private in the first place?!
unadhania kundi lipi litaathirika Zaidi,kama sio watoto wa maskini??sababu shule za serikali,ndio wamejaa huko?!
watoto wa maskini ukiliangalia hili swala kwa undani,their parents cant afford to buy everything for them,so they are 'potential prey' kwa mabazazi/predators.
by the way,nchi kama tunataka tusonge mbele watu wote wasome,lol
Nasisitiza, "Kuzuia kuendeleana shule za Serikali" kwani nchi hii waliwahi kuruhusiwa kuendelea na shule lini hata useme rais amezuia? Kauli ya Rais maana yake "kuneni vichwa" jinsi ya kuwasaidia hao wasio na uwezo sio kufikiria warudi shule za serikali madhara yake baada ya robo karne ni makubwa kuliko faida. iko siku mtajikuta shule zima ni ya wazazi mtaanza kuulizana nani aliruhusu hiyo. Hata kama mzazi hana uwezo usimtabirie kutokuwa na uwezo aliyeamua kupata mimba utotoni, kuna Ngumbaru ataikuwa akiwa mtu mzima.
 
Nasisitiza, "Kuzuia kuendeleana shule za Serikali" kwani nchi hii waliwahi kuruhusiwa kuendelea na shule lini hata useme rais amezuia? Kauli ya Rais maana yake "kuneni vichwa" jinsi ya kuwasaidia hao wasio na uwezo sio kufikiria warudi shule za serikali madhara yake baada ya robo karne ni makubwa kuliko faida. iko siku mtajikuta shule zima ni ya wazazi mtaanza kuulizana nani aliruhusu hiyo.

NAFASI KWA WOTE,ndio my motto,lol

au hujaiskia kauli ya mkulu wewe kwa kebehi kasema 'hawezi kusomesha wazazi' au hukuielewa hii sentensi???

kuna hasara kuwaelimisha watu ama wazazi in this regard?,

embu zitaje hizo hasara,

kuna ubaya gani kukuta shule nzima ni wazazi?
 
Back
Top Bottom