Ilikuwa hivi.........
By Rev Fr Masanilo
Udhaifu huu! IP ban never works acha kamba mkubwa -
By Invisible
Mkuu nikuonjeshe IP ban kwa 24hrs kisha uje utwambie kama haifanyi kazi? Hatutofungia jina, hapo manake tutahakikisha JF huioni kwenye IP husika.
By Rev Fr Masanilo
Mkuu siwezi jaribu ukali wa sumu kwa kuilamba! Hebu jaribu kunipa IP BAN kwa masaa 4 nikishindwa kulogin nitajua hamtishii Nyani na sanamu ya mtu
By Invisible
Pumzika salama mkuu,
Najua kwa sasa unahangaika kuipata JF bila mafanikio...
By Rejao
Hahaha..
Inamaana umemlima ban?
By Invisible
Kala kwa kutaka mwenyewe,,, kaomba masaa 4, sasa itategemea kama ntakuwepo muda huo au ntakuwa kwenye issue tofauti. Akirejea atatueleza how good it was!
Jamaa ni noma huyu
Nimeachiwa kwa sasa!
hebu nipe story ilikuwaje mkuu??
Umemuomba msamaha??
au uliingia na ID nyingine???
na ulitumia Simu au Ipad??
Jamaa ni noma huyu
Nimeachiwa kwa sasa!
hebu nipe story ilikuwaje mkuu??
Umemuomba msamaha??
au uliingia na ID nyingine???
na ulitumia Simu au Ipad??
...hahahhhaa hhaaa. The myth behind barsTupe uzoefu mkuu...
Unajua awali nilikuwa sijaelewa.............kumbe Member anaweza kuomba Ban hata ya nusu saa na akapatiwa...... basi na mie nikichoka na JF nitaomba japo ya masaa 72, ili niweze kufanya kazi nyingine maana najiona kama vile nimekuwa addicted..................LOL
hauko addicted wewe ila upo kazini humu...