Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 8,861
- 12,491
Ilikuwa hivi.........
By Rev Fr Masanilo
Udhaifu huu! IP ban never works acha kamba mkubwa -
By Invisible
Mkuu nikuonjeshe IP ban kwa 24hrs kisha uje utwambie kama haifanyi kazi? Hatutofungia jina, hapo manake tutahakikisha JF huioni kwenye IP husika.
By Rev Fr Masanilo
Mkuu siwezi jaribu ukali wa sumu kwa kuilamba! Hebu jaribu kunipa IP BAN kwa masaa 4 nikishindwa kulogin nitajua hamtishii Nyani na sanamu ya mtu
By Invisible
Pumzika salama mkuu,
Najua kwa sasa unahangaika kuipata JF bila mafanikio...
By Rejao
Hahaha..
Inamaana umemlima ban?
By Invisible
Udhaifu huu! IP ban never works acha kamba mkubwa -
Mkuu nikuonjeshe IP ban kwa 24hrs kisha uje utwambie kama haifanyi kazi? Hatutofungia jina, hapo manake tutahakikisha JF huioni kwenye IP husika.
Mkuu siwezi jaribu ukali wa sumu kwa kuilamba! Hebu jaribu kunipa IP BAN kwa masaa 4 nikishindwa kulogin nitajua hamtishii Nyani na sanamu ya mtu
Pumzika salama mkuu,
Najua kwa sasa unahangaika kuipata JF bila mafanikio...
Hahaha..
Inamaana umemlima ban?
Kala kwa kutaka mwenyewe,,, kaomba masaa 4, sasa itategemea kama ntakuwepo muda huo au ntakuwa kwenye issue tofauti. Akirejea atatueleza how good it was!