Bank Statement na CRDB Bank

Bank Statement na CRDB Bank

Sayaka

Senior Member
Joined
Aug 3, 2014
Posts
162
Reaction score
50
Habari wana jamvi , hivi hii tabia ya wafanyakazi wa Bank ya CRDB kumjibu mteja pale anapohitaji bank statement yake kila siku network iko down , miaka yote huwa network iko down na hawawezi mprintia mteja haki yake ? Au unaacha details ndo waprint, inamaana hii network hamjawahi ripoti kwa IT wenu kuna network inasumbua? Nimeshindwa kuelewa sasa maana ni zaidi ya miaka na miezi kila nikisema niende kupata statement yangu wananiambia leo haiwezekani network hakuna , tuambieni network ipo siku gani maana ni miaka na miaka sasa huwa tu network hakuna , kazi mnafanyaje kama network hakuna ? Au hamtaki ? Mmenikera sana na niwazi hampendi kumpa mteja haki yake . Kila branch hakuna network basi huyo IT wenu mbovu
 
Uko sawa kabsaa mkuu ndo walivyo hao hata siku moja hupati stament crdb but wanafanya daily transaction sijui transactions huwa zbafanyikaje kama network hamna?
 
mimi natumia zile wanazutuma kwa Email,hii Bank ni mashakaa tuu......
 
yaani mimi nina mpango kuhama hii bank. Niko mchakatoni kuangalia bank nyingine nitakayoiweza ila hawa....
 
Ninachoshukuru tu no huu mfumo
Waliouweka sasa wa kutuma through email account binafsi inanirahisishia sana maisha
 
Leo kuna mhudumu kwa wateja wa kike kanikera sana pumbavu zake sana,anaongea kama kalazimishwa kufanya kazi pumbavu sana she£$%^&^ zake kabisa........
 
habari wana jamvi , hivi hii tabia ya wafanyakazi wa bank ya crdb kumjibu mteja pale anapohitaji bank statement yake kila siku network iko down , miaka yote huwa network iko down na hawawezi mprintia mteja haki yake ? Au unaacha details ndo waprint, inamaana hii network hamjawahi ripoti kwa it wenu kuna network inasumbua? Nimeshindwa kuelewa sasa maana ni zaidi ya miaka na miezi kila nikisema niende kupata statement yangu wananiambia leo haiwezekani network hakuna , tuambieni network ipo siku gani maana ni miaka na miaka sasa huwa tu network hakuna , kazi mnafanyaje kama network hakuna ? Au hamtaki ? Mmenikera sana na niwazi hampendi kumpa mteja haki yake . Kila branch hakuna network basi huyo it wenu mbovu
ushaibiwa wewe,,mjini hapa.....
 
Jisajili na online banking utakua unajisomea mwenyewe hata midnight
 
Back
Top Bottom