Kwenye Mabango ya kuwakaribisha Watanzania kuhudhuria sherehe za miaka 51 ya Muungano yaliowekwa kwenye kona mbalimbali za jiji la Dar es Salaam, kuna sehem inayosomeka 'Pigia Kura ya NDIYO Katiba Pendekezi'.
Kwanini hapana wa hapana wanaambiwa wanavunja sheria ila wa ndio hawavunji sheria ilihali Kampeni za kusema NDIYO au HAPANA hazijaanza?!
Kwanini hapana wa hapana wanaambiwa wanavunja sheria ila wa ndio hawavunji sheria ilihali Kampeni za kusema NDIYO au HAPANA hazijaanza?!