Bangi ni noma jaman!

Bangi ni noma jaman!

Prince edu

Member
Joined
Dec 16, 2011
Posts
78
Reaction score
0
Masela wawili wakiwa chini ya mwembe walivuta bangi mpaka ikawaingia kabisa baada ya muda si wakasikia njaa wakashauriana watungue maembe juu ya mti,maongezi yao yalikuwa hivi;
Msela 1;msela kabla hatujatungua tutajuaje kama yameiva
Msela 2;ngoja nipande nikacheq kama yameiva.
Msela akapanda mpaka juu ya mti akabonyeza embe moja akakuta limeiva akashuka mpaka chini akamwambia mwenzake,"msela limeiva haya tulitungue!" kwel bang noma!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom