Prince edu
Member
- Dec 16, 2011
- 78
- 0
Masela wawili wakiwa chini ya mwembe walivuta bangi mpaka ikawaingia kabisa baada ya muda si wakasikia njaa wakashauriana watungue maembe juu ya mti,maongezi yao yalikuwa hivi;
Msela 1;msela kabla hatujatungua tutajuaje kama yameiva
Msela 2;ngoja nipande nikacheq kama yameiva.
Msela akapanda mpaka juu ya mti akabonyeza embe moja akakuta limeiva akashuka mpaka chini akamwambia mwenzake,"msela limeiva haya tulitungue!" kwel bang noma!
Msela 1;msela kabla hatujatungua tutajuaje kama yameiva
Msela 2;ngoja nipande nikacheq kama yameiva.
Msela akapanda mpaka juu ya mti akabonyeza embe moja akakuta limeiva akashuka mpaka chini akamwambia mwenzake,"msela limeiva haya tulitungue!" kwel bang noma!