Kaka wewe nenda pale central police, pale nje, tena mbali tu na lango kuu. Kisha washa msokoto wako, puliza moshi wako kwa amani. Hao madaktari wabobezi mbona nao wanaivuta kwa uficho?????
Haahahaa, hizo ni tabia za wahuni tu mkuu, mtu mhuni hata akinywa chai tu anaweza kukosa staha!
Bonyeza kitufe cha report na utoe hoja yako. Hivi mod wanaweza wasione. Ama mtumie pm invisible
Kwa hiyo uliponiita 'mzinzi' na hufahamu lolote juu yangu ilikuwa ni uhuni au bange?
Wewe unavyogeneralize kuwa sisi wavuta bange ni watu wabaya alhali haumfahamu hata unayeongea naye uko sane kweli?
Nioneshe wapi nime-generalize namna hiyo. Na kisha, hata kama nime-generalize, kutoa tusi ni njia njema badala ya kutoa maelezo? Ukishindwa kujibu kwa staha tunajua ni matokeo ya bange tu!
Henu nioneshe ni wapi nimetoa matusi!
Wewe unavyogeneralize kuwa @sisi wavuta bange ni watu wabaya alhali haumfahamu hata unayeongea naye uko sane kweli?
rudi kwenye post zako, au ndio moshi unasumbua tena?
Sioni tusi, labda kama una matatizo ya akili!
duh!kweli umeamua kaka mkubwa
matatizo ya akili huchangiwa sana na moshi, na mimi situmii.......
Asante mkuu ngoja nifanye hivyo>Bonyeza kitufe cha report na utoe hoja yako. Hivi mod wanaweza wasione. Ama mtumie pm invisible
tena ni kisisimuo cha mwili kama kahawani mtazamo
uvutaji wa bangi si jambo geni
vijana wengi wanavuta au wameshawahi kuvuta
ukiachia mbali madhara ambayo watu wa afya wanasema yanaletwa na bangi (mengi si kweli)
kma ulishawah kuvuta utakubaliana na mimi
bangi haina addiction wala haijengi dependency
ukiikosa hupati alosto
bangi ina leta mood au inaongeza mood
huku kijijini kwetu wakulima wanapuliza bangi then wanaingia mzigoni
same way tulivokuwa tunatumia high school tunapata mood ya kupiga misuli
haya madhara kma kupoteza kumbukumbu ni uongo mtupu na sijui hizo research walimfanyia nani?
Kwanza bangi inaongeza appetite mim ningekuwa docta watu wanaosuffer na anorexia ninge kuwa na prescribe bangi
afu bangi navoelewa risk ya kupata sijui cancer yakoo au mapafu ni ndogo kuliko hizo tumbaku ambazo ni legal kabisa
bangi ina fanya muscles zina relax
hakuna sijui ku athiri nguvu za kiume kama tumbaku
kwahyo basi sioni sabab ya bangi kuwa illegal cha msingi serikali izuie madawa ya kulevya na bangi watu wavute hadharani kma sigara ili kutoweza kuwapa mwanya wale wanao changanya na heroin huko vichochoroni