Tatizo ni kua je unayopewa ki uhalisia ndio hiyo iliyoandikwa 1gb?Airtel weka 1000 (buku) vocha, pga menyu ya *149*81# nenda namba 4, 1Gb kwa siku 3 sms 1000, dk 110, dk10 mitandao yote, dk 100 airtel to airtel.
Airtel siyo kama mitandao mingne wapo makini.Tatizo ni kua je unayopewa ki uhalisia ndio hiyo iliyoandikwa 1gb?
Isije ikawa wanakuambia wanakupa 1gb kumbe ya kwenye maandishi tu