Infact zile tires za gantry crane ni 900kWhat!
Training to operate it takes years with a fee of 220k hio ni masters mzima pale K.u
Nicee..kenya hakuna mchezo ..updates..........
New equipment arriving
Ujenzi wa barabara ya bandari bado unaendelea.........
Geza Ulole hujawahi itika tangu August 14 2016 .
nafurahi mnavyoleta hivi vitu kwasababu mnamfanya magufuli achanganyikiwe afanye kazi kwa moyo wote, atawashughulikia tu kuna siku hamtaamini.
Wamekuita, umekuja wamekimbia! Hahahahaaassssnaona kuna floods
mombasa port is huge that just a small part. Mombasa port ni mara mbili dar kaka.Wamekuita, umekuja wamekimbia! Hahahahaaassss
Can you prove this! Au umeshiba chapoo maneno yana kutoka tumombasa port is huge that just a small part. Mombasa port ni mara mbili dar kaka.
who told you???mombasa port is huge that just a small part. Mombasa port ni mara mbili dar kaka.
Ila bandari yetu Jamani hali mbaya Sana
huyo anaongea pumba tu hajielewCan you prove this! Au umeshiba chapoo maneno yana kutoka tu