Bandari ya Mombasa na Dar wapi karibu kwa majirani zetu?

msumeno

JF-Expert Member
Aug 3, 2009
2,827
1,729
Waungwana wiki nzima hii nimeshuhudia kapuni moja ya Logistics ya Kenya ( nafikiri) wakipitisha hapa Uganda yale magari makubwa ya kubeba magari mengine ( sijui yanaitwaje kitaalamu) yakiwa yamebeba gari nyingi mpya za aina ya Land Cruiser. Inaoneneka magari haya yanakwenda nchi jirani na sisi ( kati ya Rwanda, Burundi, au hata DRC sina uhakika) maana hata mwenyeji wangu pia hakuwa na jibu sahihi. Ndio nikawa najiuliza gari kupitia Mombassa kwenya Burundi au Rwanda , na hata Congo ni karibu kuliko kupitia kwetu? yaani bandari ya Dar? nauliza tu

asante sana
 
Waungwana wiki nzima hii nimeshuhudia kapuni moja ya Logistics ya Kenya ( nafikiri) wakipitisha hapa Uganda yale magari makubwa ya kubeba magari mengine ( sijui yanaitwaje kitaalamu) yakiwa yamebeba gari nyingi mpya za aina ya Land Cruiser. Inaoneneka magari haya yanakwenda nchi jirani na sisi ( kati ya Rwanda, Burundi, au hata DRC sina uhakika) maana hata mwenyeji wangu pia hakuwa na jibu sahihi. Ndio nikawa najiuliza gari kupitia Mombassa kwenya Burundi au Rwanda , na hata Congo ni karibu kuliko kupitia kwetu? yaani bandari ya Dar? nauliza tu

asante sana
Nasikia harufu ya uchochezi hapa. Subiri waje wenyewe uipate habari yako
 
Mkuu Getang'wan wewe ndio mchochezi unawachochea wanitukane.... mimi nimeona kwa macho yangu... it is true nimeumia kuona mizigo inapitia kwa jirani.... huu ni wivu wa maendeleo... sidhani kama nikosa? mwe!!! sasa tutakua hatusemi?
 
Waungwana wiki nzima hii nimeshuhudia kapuni moja ya Logistics ya Kenya ( nafikiri) wakipitisha hapa Uganda yale magari makubwa ya kubeba magari mengine ( sijui yanaitwaje kitaalamu) yakiwa yamebeba gari nyingi mpya za aina ya Land Cruiser. Inaoneneka magari haya yanakwenda nchi jirani na sisi ( kati ya Rwanda, Burundi, au hata DRC sina uhakika) maana hata mwenyeji wangu pia hakuwa na jibu sahihi. Ndio nikawa najiuliza gari kupitia Mombassa kwenya Burundi au Rwanda , na hata Congo ni karibu kuliko kupitia kwetu? yaani bandari ya Dar? nauliza tu

asante sana
Biashara ni choice ya mhusika. Unataka kusema hakuna vinavyopita Dar kwenda hizo nchi ama unafikiri wao wakenya wamejenga bandari kwa ajiri yao Tu? Biashara iko hivyo na hata ukienda Beira utakuta kuna bidhaa za DRC zinashuka pale. Ni chose choice
 
Waungwana wiki nzima hii nimeshuhudia kapuni moja ya Logistics ya Kenya ( nafikiri) wakipitisha hapa Uganda yale magari makubwa ya kubeba magari mengine ( sijui yanaitwaje kitaalamu) yakiwa yamebeba gari nyingi mpya za aina ya Land Cruiser. Inaoneneka magari haya yanakwenda nchi jirani na sisi ( kati ya Rwanda, Burundi, au hata DRC sina uhakika) maana hata mwenyeji wangu pia hakuwa na jibu sahihi. Ndio nikawa najiuliza gari kupitia Mombassa kwenya Burundi au Rwanda , na hata Congo ni karibu kuliko kupitia kwetu? yaani bandari ya Dar? nauliza tu

asante sana
Mkuu angalia 1)Ramani , 2)Uimara wa miundombinu.
3)Non tarrif barriers na mwisho 4)Maji ya polisi wa njiani.
 
Back
Top Bottom