Mh. Mwakyembe bado kuna tatizo ktk katika bandari ya dar es salaam, unaagiza mzigo unalipia kila kitu unapotaka kuutoa unazungushwa zungushwa tuu mara utaskia eti wakaguzi hawapo eti uje j3 na hapo mtu umeshakaa karibu week nzima ukihangaikia kutoa mali yako!inaudhi sana kwakweli!