Banda la Chakula linauzwa

Banda la Chakula linauzwa

Mledi haswa

Senior Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
161
Reaction score
172
Banda la chakula , chipsi na vyakula vingine linauzwa , lipo (SAUT) malimbe kwa masha karibu na hostel ya south village , lina vitu vyote vya kupikia na mabenchi ya kisasa , liko sehemu nzuri sana , usimamizi unakua mgumu hivyo namaliza likizo na sintoweza kusimamia , bei ni 1.9 mil. Ni kubwa wanaweza kukaa watu mpaka 20 , pia unapewa na store , ina chumba na sebule , nicheki 0783761235 , ofisi ni yangu hakuna udalali. Ahsanteni na karibuni.
View attachment 1664890
 
Vipi kwa siku ulikuwa unauza chips viazi debe ngapi?
 
Eneo la kulipiwa kodi , kwa mwezi ni 45,000. Store nalipa 20,000 na eneo la banda 25,000.
hmmm. umesema eneo la kulipiwa kodi ni 45000, bado tena eneo la banda 25000. hilo eneo la kulipia 45000 ni lipi sasa
 
hmmm. umesema eneo la kulipiwa kodi ni 45000, bado tena eneo la banda 25000. hilo eneo la kulipia 45000 ni lipi sasa

Nafikiri 45k ni jumla, yaani 20k+25k.... mi nimeelewa hivyo!
 
Banda liko MWANZA , chuo kikuu cha SAUT (MALIMBE)
Hili banda lako poa sana mkuu.
Screenshot_2021-01-02-15-15-30-1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom