Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,998
Ule msemo wa mtegemea cha nduguye hufa masikini ndio uliopo akilini mwa watengenezaji wa simu za Huawei na serekali ya Uchina kwa sasa.
Kwa nini Karibu 3/4 ya teknolojia inayotumika duniani inatoka Marekani. Mataifa mengine yanajifunza nini? Pamoja na kuwa na chuki na Mmarekani lakini kumbe bado ni mtu muhimu kwako. Kwa miaka sasa China imekua ikipiga marufuku huduma za Google (upande wa apps sio OS) Lengo lao kuu ni kukuza apps zao na kuhofia kuchunguzwa kupitia hizo apps.
Tangazo rasmi ni kuwa Huawei haitapata tena huduma ya mfumo endeshi wa Android,je wamejipanga vya kutosha kuwa na mfumo wao? Jibu ni hakuna. Je hata kama watakuwa na mfumo wao je soko lao litakidhi mahitaji kama ilivyo kwa Android na iOs? Kumbukeni Windows OS ilivyokufa!!.
Mf.Funzo kwetu: vipi ikijatokea wamepiga marufuku apps zao kama instagram,wasap, facebook na youtube? Tuna mbadala au ndio kutegemea kwa jirani mwingine???
Upande wa mtandao wa kijamii angalau tuna JF vipi kwa huduma zingine???
Kwa nini Karibu 3/4 ya teknolojia inayotumika duniani inatoka Marekani. Mataifa mengine yanajifunza nini? Pamoja na kuwa na chuki na Mmarekani lakini kumbe bado ni mtu muhimu kwako. Kwa miaka sasa China imekua ikipiga marufuku huduma za Google (upande wa apps sio OS) Lengo lao kuu ni kukuza apps zao na kuhofia kuchunguzwa kupitia hizo apps.
Tangazo rasmi ni kuwa Huawei haitapata tena huduma ya mfumo endeshi wa Android,je wamejipanga vya kutosha kuwa na mfumo wao? Jibu ni hakuna. Je hata kama watakuwa na mfumo wao je soko lao litakidhi mahitaji kama ilivyo kwa Android na iOs? Kumbukeni Windows OS ilivyokufa!!.
Mf.Funzo kwetu: vipi ikijatokea wamepiga marufuku apps zao kama instagram,wasap, facebook na youtube? Tuna mbadala au ndio kutegemea kwa jirani mwingine???
Upande wa mtandao wa kijamii angalau tuna JF vipi kwa huduma zingine???