PostGE2025 Balozi wa Tanzani UN-DR. Abdallah Possi azimiwa mic na hotuba yake nzito yenye maelezo ya kweli na ya kina kuhusu uchaguzi wa Tanzania2025 yakatishwa

PostGE2025 Balozi wa Tanzani UN-DR. Abdallah Possi azimiwa mic na hotuba yake nzito yenye maelezo ya kweli na ya kina kuhusu uchaguzi wa Tanzania2025 yakatishwa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,833
Akihutubia na kutoa majibu na ufafanuzi muhimu sana dhidi ya upotosha uliotolewa na mataifa mablimbali kuhusu matukio ya kabla ya uchaguzi mkuu, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi mkuu huru, wa wazi na wa haki uliofanyika Oct.29,2025, makamo wa rais wa kikao hicho cha baraza alionekana kukerwa na ukweli wa balozi dr. Possi na kulazimika kumzimia mic na kukatisha hotuba ya Dr.Possi iliyojaa mambo muhimu na ya msingi zaidi dunia kufahamu.

Akihutubia kikao cha 61 cha baraza la haki za binadamu, Dr.Possi ameeleza kusikitishwa na taarifa za kupotosha za upande moja za mataifa na taasisi kadhaa za kimataifa, huku kwa makisudi wakifumbia macho ukweli halisi juu ya kilichotokea Oct.29.2025.

Kiukweli, balozi Dr. Abdalah Possi ni mtu na nusu mbele ya mabwenyenye ya magharibi, ambao walikua kimya mno wakati balozi akiudadavua na kuweka wazi kweli mtupu dhidi ya uongo wao mabwenyenye, balozi Possi aliweka bayana namana serikali sikivu ya CCM chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan, ilivyosimamia na ilivyoshughulikia dosari na changamoto ndogondogo za uchaguzi kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Sikiliza hotuba hiyo ya maana na ya kihistoria, lakini pai shuhudia namna hotuba hiyo muhimy ya balozi Possi, livyokatishwa kihuni.

Mungu Ibariki Tanzania

View: https://youtu.be/NQTikDfGIIU?si=UnE3agEAaFciz8Lb
 
Akihutubia na kutoa majibu na ufafanuzi muhimu sana dhidi ya upotosha uliotolewa na mataifa mablimbali kuhusu matukio ya kabla ya uchaguzi mkuu, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi mkuu huru, wa wazi na wa haki uliofanyika Oct.29,2025, makamo wa rais wa kikao hicho cha baraza alionekana kukerwa na ukweli wa balozi dr. Possi na kulazimika kumzimia mic na kukatisha hotuba ya Dr.Possi iliyojaa mambo muhimu na ya msingi zaidi dunia kufahamu.

Akihutubia kikao cha 61 cha baraza la haki za binadamu, Dr.Possi ameeleza kusikitishwa na taarifa za kupotosha za upande moja za mataifa na taasisi kadhaa za kimataifa, huku kwa makisudi wakifumbia macho ukweli halisi juu ya kilichotokea Oct.29.2025.

Kiukweli, balozi Dr. Abdalah Possi ni mtu na nusu mbele ya mabwenyenye ya magharibi, ambao walikua kimya mno wakati balozi akiudadavua na kuweka wazi kweli mtupu dhidi ya uongo wao mabwenyenye, hukua akiweka bayana namana serikali sikivu ya CCM chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan, ilivyosimamia na ilivyoshughulikia dosari na changamoto ndogondogo za uchaguzi kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Sikiliza hotuba hiyo ya maana na ya kihistoria, lakini pai shuhudia namna hotuba hiyo muhimy ya balozi Possi, livyokatishwa kihuni.

Mungu Ibariki Tanzania

View: https://youtu.be/NQTikDfGIIU?si=UnE3agEAaFciz8Lb

Umeandika utumbo,acheni kujipendekeza tuna dhahabu, almasi, uranium, Tanzanite, bandari....
 
Akihutubia na kutoa majibu na ufafanuzi muhimu sana dhidi ya upotosha uliotolewa na mataifa mablimbali kuhusu matukio ya kabla ya uchaguzi mkuu, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi mkuu huru, wa wazi na wa haki uliofanyika Oct.29,2025, makamo wa rais wa kikao hicho cha baraza alionekana kukerwa na ukweli wa balozi dr. Possi na kulazimika kumzimia mic na kukatisha hotuba ya Dr.Possi iliyojaa mambo muhimu na ya msingi zaidi dunia kufahamu.

Akihutubia kikao cha 61 cha baraza la haki za binadamu, Dr.Possi ameeleza kusikitishwa na taarifa za kupotosha za upande moja za mataifa na taasisi kadhaa za kimataifa, huku kwa makisudi wakifumbia macho ukweli halisi juu ya kilichotokea Oct.29.2025.

Kiukweli, balozi Dr. Abdalah Possi ni mtu na nusu mbele ya mabwenyenye ya magharibi, ambao walikua kimya mno wakati balozi akiudadavua na kuweka wazi kweli mtupu dhidi ya uongo wao mabwenyenye, hukua akiweka bayana namana serikali sikivu ya CCM chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan, ilivyosimamia na ilivyoshughulikia dosari na changamoto ndogondogo za uchaguzi kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Sikiliza hotuba hiyo ya maana na ya kihistoria, lakini pai shuhudia namna hotuba hiyo muhimy ya balozi Possi, livyokatishwa kihuni.

Mungu Ibariki Tanzania

View: https://youtu.be/NQTikDfGIIU?si=UnE3agEAaFciz8Lb

Wakati mwingine uwe unajiongeza na ujaribu angalau kidogo kuficha upumbavu wako.
 
Kiukweli, balozi Dr. Abdalah Possi ni mtu na nusu wakati balozi akiudadavua na kuweka wazi kweli mtupu bayana namana serikali sikivu ya CCM chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan, ilivyosimamia na ilivyoshughulikia dosari na changamoto ndogondogo za uchaguzi kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.Mungu Ibariki Tanzania
Hongera sana Mkuu Tila, huu ndio uzalendo wa kweli wa taifa hili na hili ni bandiko la kizalendo kuonyesha jinsi Balozi wetu alivyozimiwa mic!, japo mimi sikubaliani na wewe, kuhusu hizo dosari na changamoto ndogondogo za uchaguzi, kama kweli ni dosari na changamoto ndogondogo za uchaguzi then kwanini serikali yetu ilitumia risasi za moto?.
P
 
Ewe Tlaatlaah na vichaa wenzako mnaobeza haya mauaji.. malipo yenu hapahapa duniani
20260305_190445.jpg
 
Akihutubia na kutoa majibu na ufafanuzi muhimu sana dhidi ya upotosha uliotolewa na mataifa mablimbali kuhusu matukio ya kabla ya uchaguzi mkuu, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi mkuu huru, wa wazi na wa haki uliofanyika Oct.29,2025, makamo wa rais wa kikao hicho cha baraza alionekana kukerwa na ukweli wa balozi dr. Possi na kulazimika kumzimia mic na kukatisha hotuba ya Dr.Possi iliyojaa mambo muhimu na ya msingi zaidi dunia kufahamu.

Akihutubia kikao cha 61 cha baraza la haki za binadamu, Dr.Possi ameeleza kusikitishwa na taarifa za kupotosha za upande moja za mataifa na taasisi kadhaa za kimataifa, huku kwa makisudi wakifumbia macho ukweli halisi juu ya kilichotokea Oct.29.2025.

Kiukweli, balozi Dr. Abdalah Possi ni mtu na nusu mbele ya mabwenyenye ya magharibi, ambao walikua kimya mno wakati balozi akiudadavua na kuweka wazi kweli mtupu dhidi ya uongo wao mabwenyenye, hukua akiweka bayana namana serikali sikivu ya CCM chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan, ilivyosimamia na ilivyoshughulikia dosari na changamoto ndogondogo za uchaguzi kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.

Sikiliza hotuba hiyo ya maana na ya kihistoria, lakini pai shuhudia namna hotuba hiyo muhimy ya balozi Possi, livyokatishwa kihuni.

Mungu Ibariki Tanzania

View: https://youtu.be/NQTikDfGIIU?si=UnE3agEAaFciz8Lb

Rubbish/awadanganye lumumba huko....
 
Back
Top Bottom