Balozi wa China nchini Dr. Lu aagwa rasmi

Balozi wa China nchini Dr. Lu aagwa rasmi

Susuma

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
340
Reaction score
111
IMG_0787.JPG

Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo akimkabidhi zawadi Balozi wa China Mhe. Dr. Lu Youqing wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi huyo, anayemaliza muda wa utumishi Kama Balozi wa China nchini Tanzania. Aidha, Mhe. Muhongo alipata nafasi ya kufanya mazungumzo kwa Lengo la kusaidia wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini na kumpongeza kwa misaada aliyokuwa akiitoa kwenye jimbo la Musoma vijijini kama vile kutoa michango ya Ujenzi wa vyumba vya madarasa, Ujenzi wa maabara, Libeary za kusomea na huduma ya matibabu ya bure kutoka kwa timu ya madakrari bingwa wa china. Mwisho Mhe. Muhongo alimtakia Mhe. Balozi mafanikio mema huko aendako.
IMG_0789.JPG

Mbunge wa Musoma vijijini Mhe. Prof. Muhongo akisalikiana na Balozi China Dr. Lu wakati wa hafla ya kumuaga Balozi huyo iliyofanyika Leo 5/9/2017
 
IMG_0788.JPG

Prof. Muhongo akifanya mazungumzo na Balozi wa China Mhe. Dr.Lu leo tarehe 05.09.2017 wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi huyo anayemaliza muda wake wa kuhudumu nchini Tanzania. Lengo la mazungumzo hayo ni kumshukuru kwa misasda aliyoiyoa kwa wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini na kumpongeza kwa misaada aliyokuwa akiitoa kwenye jimbo la Musoma vijijini na kumtakia heri Katika maisha yake arakaporudi nchini mwake.
 
Swahiba ake na kinana uyo

Jasusi la China na ccm

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Mbona mabalozi wengi ni Majasusi Mkuu, tena wazito. Balozi Lu Youqing alitokea kuiva sana na chama na serikali kwa ujumla.
 
Afadhali kaondoka huyu Kada expatriate..hakua balozi alikua kada wa lumumba....
Hawa wachina wanajitia hamnazo ..ila kuisadia ccm ili wapate kula rasilimali zetu...
Dawa yao hawa moja...ni kwa upinzani kuwambia wazi ..mfano balozi mpya atakaye kuja aambiwe ukiingilia mambo ya ndani byama vyetu vitafanya mahusiano na Taiwan..hapo utawasha moto...na unawaamnia wasipo koma Taiwan itakuwa na balozi kamili na wetu alioko china atahamia Taipei...
Uniho utawatoka
 
Back
Top Bottom