Nayeye uteuzi wake utenguliwe tu sababu anahusika na kila jipu linalotumbuliwa,Yeye ndio Katibu mkuu kiongozi(mkuu wa utumishi wa umma),haiwezekani makosa ya watu wa chini yake asihusike.
JPM ili kweli kuondoa hayo mapandikizi, muwajibishe Sefue.
Unatambua mipaka ya katibu mkuu kiongozi au unaongea tu?kama yeye nahao walio chini yake waliteuliwa na Rais hasingeweza kuwaondoa au kuwawajibisha bali Rais aliyewateua,msikurupuke tu,ebo!!
Unatambua mipaka ya katibu mkuu kiongozi au unaongea tu?kama yeye nahao walio chini yake waliteuliwa na Rais hasingeweza kuwaondoa au kuwawajibisha bali Rais aliyewateua,msikurupuke tu,ebo!!
kwa utawala uliopita siwez kumlaum dr hosea tatizo lilikuwa ni mamlaka ya juu aliweka watu wake sana hakuna ambacho kilikuwa hakijulikan tatizo ni kuamua hata hzo tax avoidance na hayo makontena siyo issue ngen nafkri hata mwenyekiti wa agent association amesema walikuwa wanapeleka taarifa hazifanyiwi kazi
Akhsante sana,ama kweli ccm wameishiwa pumzi,yaani wanajivua nguo huku wakiamini wanatusanii"kumbe wanajisanii wenyewe,NG'ASTUKA KITAMBO SANA,AIBU KWAO NA MIZIGO YAO NA MAJIPU YAO WENYEWE".
Unatambua mipaka ya katibu mkuu kiongozi au unaongea tu?kama yeye nahao walio chini yake waliteuliwa na Rais hasingeweza kuwaondoa au kuwawajibisha bali Rais aliyewateua,msikurupuke tu,ebo!!
Nayeye uteuzi wake utenguliwe tu sababu anahusika na kila jipu linalotumbuliwa,Yeye ndio Katibu mkuu kiongozi(mkuu wa utumishi wa umma),haiwezekani makosa ya watu wa chini yake asihusike.
JPM ili kweli kuondoa hayo mapandikizi, muwajibishe Sefue.
Nayeye uteuzi wake utenguliwe tu sababu anahusika na kila jipu linalotumbuliwa,Yeye ndio Katibu mkuu kiongozi(mkuu wa utumishi wa umma),haiwezekani makosa ya watu wa chini yake asihusike.
JPM ili kweli kuondoa hayo mapandikizi, muwajibishe Sefue.
tatizo wanaccm wameifanya siasa kama ajira ya maisha yote , hebu fikiria mtu kama Mh Waziri na katibu mwenezi wa chama , ndugu Nape , mtoe kwenye ajira ya kisiasa halafu mfungulie duka la spea za magari gerezani , mpachike na mashine ya EFD uone kama atakuwepo baada ya miezi 6 .
Unatambua mipaka ya katibu mkuu kiongozi au unaongea tu?kama yeye nahao walio chini yake waliteuliwa na Rais hasingeweza kuwaondoa au kuwawajibisha bali Rais aliyewateua,msikurupuke tu,ebo!!