GE2025 Balozi Mulamula achukua fomu ubunge viti maalum

GE2025 Balozi Mulamula achukua fomu ubunge viti maalum

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Balozi Liberata Mulamula amechukua fomu rasmi leo tarehe 28/6/2024 katika Ofisi za UWT, Taifa, zilizopo jijini Dodoma, kuwania kiti cha ubunge Viti Maalum katika kundi la Vyuo Vikuu katika uchaguzi ujao.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mwanadiplomasia wa Tanzania amewahi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Marekani pamoja na Mexico na pia kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania.
1751113839656.png

Chanzo: Kitenge
 
Pesa ni tamu sana, utaitafuta na haitakutosha kamwe.
Pesa itakutia aibu na utaibika na kamwe hutojali.
Unapofanikiwa kimaisha .

Mfano umefanya kazi Western countries over 40

Umekuwa diplomatic
Umekuwa waziri
Umekuwa Mbunge
Umekuwa Balozi.


Una age 70s je unahitaji nini tena hapa duniani zaidi ya kuwaachia wengine hizo nafasi
 
Duh viti maalumu si mchezo unafanya masihara na u bosi wa kuendeshwa kwenye v8 nani hautaki.
 
Yaani umri wake bado anataka uongozi, tena ubunge........dah
 
Back
Top Bottom