...Balozi Khamis Kagasheki katika hili umeonewa hatia yako siioni bado


Ahsante kwa kuliona ili nina wasiwasi kama mh. Rais nae hayumo katika mtandao wa kijangili? Kwanini hakuweza kumpa nguvu pale alipomuomba msaada juu ya mtandao wa majangili?
 
No comment for these saga akumbuke marehemu Baba askofu Laizer aliwahi kusema wakati wa kumpokea mh Lowasa Monduli wakati amejiuzulu/ amewajibika(collective responsibility) alitahadharisha wanasiasa Lowasa ni sawa na kuni ambayo imeungua jikoni lakini ziko kuni nyingine zitaungua tu hata kama ni mbichi lengo kutimiza matakwa ya wanasiasa na wahafidhina weusi wanaofanana na makaburu. kagasheki you have done your level best, you have to accept liability and challenges. welcome streets
 
Bado naamini kuwa waziri aliyejiuzulu, ni mtu muhimu sana ndani ya mapambano dhidi ya ujangili ulioundiwa ngome imara. Yawezekana Tanzania isimpate shujaa kama huyu milele. Ni shujaa aliyeangamizwa na oparesheni yake mwenyewe. Operesheni tokomeza majangili ikamgeuka na kuwa operesheni tokomeza Kagasheki. Nakutia Moyo shujaa uliyeuawa vitani. Wameua mwili wako lakini naamini wameshindwa kuua uzalendo wako mtukuka! Kwa tafakuri pevu, vita yako takatifu imenajisiwa na kuonekana si kitu. Bunge letu tukufu kwa kusukumwa na upofu wa kura za mwaka 2015 limeshughulikia matawi na sio tatizo lenyewe! Wakati kamati ya uchunguzi ilipaswa kuja na majibu ya kwa nini wale waliotumwa na kagasheki kupigana vita takatifu wameigeuza kuwa vita ya kishetani, tume hiyo imekuja na majibu ya matokeo ya uasi wa vita takatifu iliyoasisiwa na mheshimiwa Kagasheki. Wabuge wetu wakatumia bunge kama eneo la kuhakikishia usalama wa kura zao! Vita takatifu imepoteza udhu!
 
Acha kutetea upuuzi.....taarifa za unyamera wa watekelezaji wa operesheni zilimfikia lakini hakuchukua hatua...hii ina maana aliunga mkono.
Anastahili kunyongwa yeye na kina nchimbi
 
Imeniuma sana,kweli CCM inawenyewe Kagasheki ndiye waziri pekee aliyeanza kufichua wizi mkubwa wa pembe za ndovu. Maige alkuwa anacheza mchezo wa pasu kwa pasu. Muda wa kujiunga CUF kwa upande wangu naona umefika.
 
Tutambue amewajibika hata kama hana kosa bado ataheshimika ndani na nje ya nchi. ila bunge letu lisitumiwe kama genge la baadhi ya wahuni wakijinasibu wanatetea wananchi wakati wao wametumia mbinu chafu kusaliti operesheni yenyewe.
 
Tatizo la Kagasheki ni kukata mti wa tawi alilokalia. Tofauti na wachangiaji wengi hapa mimi namlaumu yeye mwenyewe Kagasheki. You can't go against the manifesto of your employer and expect to keep your job. Plain and simple.
 
Kweli huyu bwana ni mchapakazi na mzalendo wa kweli. Ndiyo hivyo tena siku ya kufa nyani miti yote uteleza.
 
Acha kutetea upuuzi.....taarifa za unyamera wa watekelezaji wa operesheni zilimfikia lakini hakuchukua hatua...hii ina maana aliunga mkono.
Anastahili kunyongwa yeye na kina nchimbi

ACHA UJINGA WEWE!Mbona huzungumzii askari waliouwawa na Majangili unazungumzia raia tu upande mmoja,Kagasheki ni Jembe kazi yake na ujasiri wake utaheshimika daima,kwa mapungufu hayo ya operesheni ndiyo maana akawajibika kisiasa ila hatuwezi kudharau wala kupuuza kazi nzito aliyoifanya,kapambana vya kutosha na kaacha Legacy kuwa alithubutu kuokoa wanyama wetu sema Majangili yana Mtandao mpana yakamgeukia,Pumzika Kagasheki ull always be respected.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Bado naamini kuwa waziri aliyejiuzulu, ni mtu muhimu sana ndani ya mapambano dhidi ya ujangili ulioundiwa ngome imara. Yawezekana Tanzania isimpate shujaa kama huyu milele. Ni shujaa aliyeangamizwa na oparesheni yake mwenyewe. Operesheni tokomeza majangili ikamgeuka na kuwa operesheni tokomeza Kagasheki. Nakutia Moyo shujaa uliyeuawa vitani. Wameua mwili wako lakini naamini wameshindwa kuua uzalendo wako mtukuka! Kwa tafakuri pevu, vita yako takatifu imenajisiwa na kuonekana si kitu. Bunge letu tukufu kwa kusukumwa na upofu wa kura za mwaka 2015 limeshughulikia matawi na sio tatizo lenyewe! Wakati kamati ya uchunguzi ilipaswa kuja na majibu ya kwa nini wale waliotumwa na kagasheki kupigana vita takatifu wameigeuza kuwa vita ya kishetani, tume hiyo imekuja na majibu ya matokeo ya uasi wa vita takatifu iliyoasisiwa na mheshimiwa Kagasheki. Wabuge wetu wakatumia bunge kama eneo la kuhakikishia usalama wa kura zao! Vita takatifu imepoteza udhu!
 


mkuu, tumekua tukiskia majangiri wakiiba nyara za serikari,ikiwemo pembe za ndovu na na wanyama km twiga kukunjwa kunjwa km karatasi na kupakiwa kwenye ndege kwenda nchi za wawekezaji

na haya yte yametokea kipindi ambacho uyo kagasheki ndiye waziri

lakin hata siku moja hajawai kuzungumzia hilo wala kuwataja wadau waloiba wanyama wetu,wala nyara yyte ya serikari.

Ni jambo la ajabu sana.

Mtanzania wa kawaida akikutwa ana winda sungura,kwaajiri ya kitoweo chake,kando kando mwa hifadhi au msitu anaitwa jangiri

wakati wageni kutoka nje ,wanakuja kubeba mpk wanyama wetu na kuwasafirisha kwenda nje, lkn wanaitwa wawekezaji

kagasheki si jasiri.
Amebeba mzigo alio stahiri
 
Imeniuma sana,kweli CCM inawenyewe Kagasheki ndiye waziri pekee aliyeanza kufichua wizi mkubwa wa pembe za ndovu. Maige alkuwa anacheza mchezo wa pasu kwa pasu. Muda wa kujiunga CUF kwa upande wangu naona umefika.

Ukiwa ndani ya ccm hutakiwa kuongea mabaya yake
 
 
unaweza ukauona hivyo kwa sasa, na labda kwa sababu hujui jinsi pesa isivyoweza kushindwa na lolote

weka picha ya ushahidi wa jinsi pesa isivyoweza kushindwa na lolote.

Tunajipumbaza wenyewe na imani zetu, hakuna kinachoshindikana kwa maamuzi ya pamoja,

pesa ni makaratasi tu
 
Kweli huyu bwana ni mchapakazi na mzalendo wa kweli. Ndiyo hivyo tena siku ya kufa nyani miti yote uteleza.


kweli uyu bwana mchapa kazi asee

ndo mana ktk kipindi chake tumeshuhudia Wanyama kusafirishwa nje ya nchi

Tumeshuhudia,Meno ya Tembo kuwa Tittle kuu ktk vyombo vya Habari

Tumeshuhudia,akikaa kimyaa bila kuwataja majangili papa na majangiri nyangumi

ila kubwa zaidi tunamshukuru sana kwa sbb bila yy na wenzake tusingeweza kuwa na msamiati mpya ktk kamusi ya siasa
"WAZIRI MZIGO"

ametumia muda mwingi kurumbana na meya wa bukoba,ule mda angetumia kuwataja majina majangiri hata wa wili tu haya yte yasinge mkuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…