huyu babu miaka karibia 95 eti anataka madaraka ya uwaziri tena,,,,,,,,hivi hawajuagi kuwa kuna kustaafu?,,,,sasa ikitokea ukawa wameshinda hawa kina mbowe watapata hata unaibu waziri kweli,,,?
Huyu hana impact yeyoye ndani ya CCM hata akijivua uanachama.
Hajasema kanyimwa kitu ila ni imani yake kwa lowasa
MMKJHadi hivi sasa hakuna mtu aliyeondoka CCM ambaye tunaweza kusema alikuwa na caliber ya Dr. Slaa kwa uzito wa madhara yake? Sumaye? Kingune? Mwapachu? Mgana Msindai? Mtu pekee ambaye angeweza kuondoka na watu wa maana alikuwa Lowassa mwenyewe na hawa wamemuwekea ngumu; labda tusubiri siku zilizobakia... Kuna watu wangeondoka CCM tungesema kweli wanaamini katika uadilifu kiasi kwamba wanamfuata Lowassa aliko waweko ili waweze kurejesha uadilifu.
Karibu wote walioondoka hadi hivi sasa - na hili linadokeza sana future ya CHADEMA baada ya Lowassa kuanguka- hawakuwa watu ambao walikuwa wanategemewa na CCM. Wasipoangalia wanaweza kuifanya CCM ionekane imebakiwa na watu hasa wenye kuiamini kuliko wale walioondoka. Cha kusikitisha wanatangaza kumuunga mkono Lowassa lakini hawataki kuchukua kadi ya CDM moja kwa moja - go figure. Hawaifuati Chadema.
..interesting...nlitaka sana kujua ungesemaje kuhusu hili la Mwapachu...na kweli unaonyesha maumivu ya wazi juu ya kutemwa kwa Slaa kugmbea urais...
..Unasema wanaohama ccm hawafuati chadema bali Lowassa...lakini unasahau kuwa hata wewe unamshabikia Slaa na si chadema...hapa unadhihirisha double standards na unafiki....kitu ambacho kimekua so prevalent kwako tangu atoke Slaa (mtu wako) chadema..
...unasema wanaohama ccm hawafuati chadema bali Lowassa....lakini hapo hapo unasahau kuwa hata hao ccm wengi wao(kama si wote) wanamshabikia/kumfuata Magufuli na si ccm....unasahau kuwa hata mabango ya kampeni za ccm yamesema chagua Magufuli....hili we hulioni kwa kuwa una upofu wa ushabiki kwa Slaa (mtu wako).....
...unawashangaa wanaofuata Lowassa ...na hata kuwabeza...unasahau kuwa kwenye urais unaenda (na nafasi nyingine)kupigia kura mtu....ama hujaziona karatasi za kupiga kura??.
...unasemaje kuwa wanaoondoka ccm hawakuwa watu wanaotegemewa ccm???unamaanisha nini kutegemewa???...kwani Slaa alikuwa anategemewaje chadema???.....
...kumuunga mkono Lowassa si lazima kuchukua kadi chadema....mbona watu wa cuf wanamuunga mkono Lowassa kwani wao wana kadi za chadema???....acha kupotosha mzee.....hoja yenu muflisi ya fitna za ufisadi dhidi ya Lowassa inakosa mashiko....haswa unapowaona watu makini kama kina Mwapachu wanamuunga mkono Lowassa...Natumaini hili litazidi kumuumiza Slaa (mtu wako)....
Hadi hivi sasa hakuna mtu aliyeondoka CCM ambaye tunaweza kusema alikuwa na caliber ya Dr. Slaa kwa uzito wa madhara yake? Sumaye? Kingune? Mwapachu? Mgana Msindai? Mtu pekee ambaye angeweza kuondoka na watu wa maana alikuwa Lowassa mwenyewe na hawa wamemuwekea ngumu; labda tusubiri siku zilizobakia... Kuna watu wangeondoka CCM tungesema kweli wanaamini katika uadilifu kiasi kwamba wanamfuata Lowassa aliko waweko ili waweze kurejesha uadilifu.
Karibu wote walioondoka hadi hivi sasa - na hili linadokeza sana future ya CHADEMA baada ya Lowassa kuanguka- hawakuwa watu ambao walikuwa wanategemewa na CCM. Wasipoangalia wanaweza kuifanya CCM ionekane imebakiwa na watu hasa wenye kuiamini kuliko wale walioondoka. Cha kusikitisha wanatangaza kumuunga mkono Lowassa lakini hawataki kuchukua kadi ya CDM moja kwa moja - go figure. Hawaifuati Chadema.