Npe frikwensi zake au namna ya kuisklza ukiwa darHapa bukoba mjini kuna redio inaitwa kasibante inamilikiwa na aliyekuwa waziri wa maliasiri na utalii Balozi Hamisi Kagasheki. Tangu tamko la kutoandika habari za RC Makonda litoke wao wamebuni kibwagizo kinachosema " ZERO ZERO ZERO" na kinapigwa kila baada ya sekunde 30 wakati wanacheza nyimbo. Nasema thisi is too much kwa sababu Kagasheki ni kada wa CCM, chombo chake kufanya hivi huu ni usaliti, Magufuli anakuona ujue.
Leteni vyeti haya yataisha. .Hapa bukoba mjini kuna redio inaitwa kasibante inamilikiwa na aliyekuwa waziri wa maliasiri na utalii Balozi Hamisi Kagasheki. Tangu tamko la kutoandika habari za RC Makonda litoke wao wamebuni kibwagizo kinachosema " ZERO ZERO ZERO" na kinapigwa kila baada ya sekunde 30 wakati wanacheza nyimbo. Nasema thisi is too much kwa sababu Kagasheki ni kada wa CCM, chombo chake kufanya hivi huu ni usaliti, Magufuli anakuona ujue.
Ni mtu na shemeji yake na UHURU fmTBC FM ndio mnyama gani?
Hicho kibwagizo ni kizuri sana ni bora kihamie radio zote ili Daud apate kusikia mwenyeweHapa bukoba mjini kuna redio inaitwa kasibante inamilikiwa na aliyekuwa waziri wa maliasiri na utalii Balozi Hamisi Kagasheki. Tangu tamko la kutoandika habari za RC Makonda litoke wao wamebuni kibwagizo kinachosema " ZERO ZERO ZERO" na kinapigwa kila baada ya sekunde 30 wakati wanacheza nyimbo. Nasema thisi is too much kwa sababu Kagasheki ni kada wa CCM, chombo chake kufanya hivi huu ni usaliti, Magufuli anakuona ujue.
Utakuwa mnafiki #1. Kumbuka JPM alisema hataki wanafiki ktk chama na serikali yake.Hapa bukoba mjini kuna redio inaitwa kasibante inamilikiwa na aliyekuwa waziri wa maliasiri na utalii Balozi Hamisi Kagasheki. Tangu tamko la kutoandika habari za RC Makonda litoke wao wamebuni kibwagizo kinachosema " ZERO ZERO ZERO" na kinapigwa kila baada ya sekunde 30 wakati wanacheza nyimbo. Nasema thisi is too much kwa sababu Kagasheki ni kada wa CCM, chombo chake kufanya hivi huu ni usaliti, Magufuli anakuona ujue.