Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 203
Watanzania wenzangu
Yule gavana wa Benk kuu ya Tanzania aliyejificha nchini marekani tumepata taarifa za uhakika kutoka kwa ndugu zetu waliopo huko kuwa amekuwa akionekana maeneo ambayo ni very cheap kulingana na hadhi yake'je inawezekana huyu mzee aliyejificha Marekani na kudanganya Watanzania kuwa amefari ameanza kufilisika?kama ni kweli basi ajiandae kuvuna alichopanda'Mungu tunayemwamini ataweka hadharani mambo yote yaliyo gizani!
Yule gavana wa Benk kuu ya Tanzania aliyejificha nchini marekani tumepata taarifa za uhakika kutoka kwa ndugu zetu waliopo huko kuwa amekuwa akionekana maeneo ambayo ni very cheap kulingana na hadhi yake'je inawezekana huyu mzee aliyejificha Marekani na kudanganya Watanzania kuwa amefari ameanza kufilisika?kama ni kweli basi ajiandae kuvuna alichopanda'Mungu tunayemwamini ataweka hadharani mambo yote yaliyo gizani!