balaa hili simu za polisi

jdkisiwa

Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
14
Reaction score
6
Wakati benki inavamiwa, nikapiga 112
nikajibiwa KARIBU JESHI LA POLISI
TANZANIA
KITENGO CHA DHARULA, for kiswahili
press 1 for
english press 2, nikabonyeza 1, sauti
ikasema kwa
ajali ya barabarani au moto bonyeza 1
kwa
ujambazi bonyeza 2, nikabonyeza 2,
sauti ikasema:
kama majambazi wana rungu, panga na
visu
bonyeza 1, pisto 2, SMG 3, AK 47
bonyeza 4,
bomu 5 kama wanavyo vyote bonyeza
6,
nikabonyeza 6.
Sauti ikasema "mmh..! Ndugu yangu
ungekuwa wewe ni polisi ungeenda
kweli..??!!"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…