VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Wakili Msomi,Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Singida Mashariki,Mh. Tundu Antipas Lissu amepata uungaji mkono. BAKWATA wamejitokeza kimatendo kumuunga mkono Mh Lissu kwenye hoja ya kurejeshwa Tanganyika.
Hivi punde,Mufti wa Tanzania Shekhe Issa Bin Simba amemteua Shekhe Manzi kuwa Kadhi Mkuu wa Tanganyika. Tanganyika sasa yatakiwa pia na BAKWATA. Ngoma inogile. Hongera BAKWATA,tuseme hivyo hata kabla ya Katiba mpya...
Hivi punde,Mufti wa Tanzania Shekhe Issa Bin Simba amemteua Shekhe Manzi kuwa Kadhi Mkuu wa Tanganyika. Tanganyika sasa yatakiwa pia na BAKWATA. Ngoma inogile. Hongera BAKWATA,tuseme hivyo hata kabla ya Katiba mpya...