BAKWATA na Mauaji Arusha


Boma,

''Wangetii Selikali'' ya nani? Usikuze mambo bila sababu, hivi kuruhusu Chadema au CUF kuandamana ni sawa na kuruhusu kila mtu kufanya anavyotaka? Chama au kikundi huomba maandamano na kuelezea maudhui ya maandamano hayo. Kisha waandaaji wa maandamano hubeba jukumu la kuhakikisha watu wao wanaelewa mipaka na misingi ya maandamano hayo. Baadaye polisi wanatakiwa kutoa ulinzi na kwa kuwepo kwenye maandamano hayo ili kudhibiti hali yoyote ya kukiuka mambo waliyokubaliana.

Kule Arusha hapakuwa na fujo yoyote hadi polisi walipoanza kuwapiga wananchi wasio na hatia. Wangeacha kuwapiga watu wala yasingetokea yaliyotokea. Hivo si vizuri kulaumu tu Chadema. Kumwagika kwa damu ni makosa ya moja kwa moja ya viongozi wa selikali. Sheria inatuzuia kuchukua sheria mkononi sote pamoja na polisi. Iundwe tume ichunguze hawa waliouawa ni kwa nini? Je walikuwa na silaha kiasi cha kutishia kuwadhuru polisi au hata kuwaua wasingewawahi? Walihatarisha maisha ya askari au raia karibu yao? Kwa nini polisi walichagua kuwaua hawa tu? na mengine mengi.
 

mtazamo wako ni sawa ila kimsingi wote polisi nabeba lawama kwa excessive use of force na upande wa chadema nilishasema. hivyo ni muhimu ccm na chadema kukaa pamoja kumaliza tofauti zao kwa manufaa ya watanzania wote na si kwa manufaa ya chama fulani.
 
Sasa kama mnasema Bakwata imeundwa na serikali, mbona mnataka serikali iwaundie mahakama ya kadhi? hivi mna akili timamu kweli?

We ndio utakua huna akili timamu, WAISLAM WAO WANATAKA KIBALI TOKA SERIKALINI KUANZISHA HIYO MAHAKAMA NA WALA SIO SERIKALI IWAUNDIE MAHAKAMA YA KADHI.....hapo akili itakujia tu:welcome:
 
We ndio utakua huna akili timamu, WAISLAM WAO WANATAKA KIBALI TOKA SERIKALINI KUANZISHA HIYO MAHAKAMA NA WALA SIO SERIKALI IWAUNDIE MAHAKAMA YA KADHI.....hapo akili itakujia tu:welcome:

Wapumbavu nilijua tu watajitokeza kujibu.

Unaeza kunipa kopi ya hiyo fomu ya kuomba kibali?? walimpa nani? lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…