assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Bakwata wamemtaka waziri Nyalandu kuomba radhi kwani alishindwa kumkemea mchungaji Mwingira ambae ktk mkesha wa mwaka mpya alitoa lugha ya uchochezi dhidi yawaislamu. Yeye km mgeni rasm hakukemea hivobaraza limemtaka aombe radhi kabla hswajachukua hatua zaidi.
chanzo startv magazeti
chanzo startv magazeti